Habari zenu wana JamiiForums, mimi ni mgeni humu ndani naombeni ushirikiani wenu nina rafiki yangu ameolewa na ana watoto watatu, tatizo lake mme wake amekuwa mlevi sana kiasi kwamba hata akitoka kazini anapitia bar anarudi nyumbani akiwa amelewa.
Siku za weekend ndio kabisa anarudi saa kumi za usiku wakati mwingine saa kumi na mbili za asubuhi, akimuuliza anamjibu kwa dharau nakumwambia yeye hatakaa abadilike hivyo ndo tabia yake, na kama anaona awezi aondoke.
Jamani huyu rafiki yangu amechanganyikiwa hajui afanyaje naombeni mumsaidie huyu rafiki yangu jamani.
Siku za weekend ndio kabisa anarudi saa kumi za usiku wakati mwingine saa kumi na mbili za asubuhi, akimuuliza anamjibu kwa dharau nakumwambia yeye hatakaa abadilike hivyo ndo tabia yake, na kama anaona awezi aondoke.
Jamani huyu rafiki yangu amechanganyikiwa hajui afanyaje naombeni mumsaidie huyu rafiki yangu jamani.