Mume wangu nataka mtoto

Nipo na mke wangu mwaka wa pili huu hatuna mtoto hiyo pressure tunayopata si ndogo,
Yaan mpaka mnakosa raha, lakini si kwamba hatutaki mtoto tunataka sana ila Mungu nae ana kudra zake
Mungu akakamilishe furaha miyoyoni mwenu kwa kuwapatia hitaji lenu mkuu

Pole sana.
 
ndo maana tuna tunashauriwa tumimbane kwanza[emoji3],

hahaha ila tukitoa huu ushauri mnatuona wahuni,,


Endeleeni na taratibu za Dini tulizoletewa,,


mm binafsi nikitaka kuoa kwanza mimba,,
 
Lazima mtoto mapema ili kama una tatizo aolewe na mwingine
 
Huwezi kuoa kisha ukawa unazembea kumpa mkeo mimba mwishoni utasaidiwa tu maana yeye anataka mtoto wewe unazungusha tutampa mimba na mtoto utalelewa ndo mwanzo wa kumkaribisha ibilisi.
Mwanaume lijali hawezi kusema haya jichunguze ulianzaje kuoa kabla hujajipanga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hongera sana mimi mzee wangu timeoishana miaka 27.
Kweli ulikuwa baharia kabisa kama unavyodai kwenye ule uzi.
 
Sasa Huyo First Born Wako Ambaye Haumtaki Kwa Sasa Unamaanisha Akija Mapema Atawamalizia Fugo La Ugali Au Atawaporomosha Kiuchumi!? Hayo Hayo Ndo Yanafanyaga Unafika Uzee Wakati Watoto Wako Ndo Wangelkua Wajukuu.
 
Acha ujinga bro. Mpe mtoto huyu.
 


Such a wise husband!!
Huu ni mfano bora kwa mume/baba...msimamo

Mke kapata mume,kila la heri mkuu endelea kuwa na misimamo na maisha yenu
 
Wale tuliotia mimba binti wa watu tukaja tupiwa kichanga maghetoni tunakomenti wapi



Haya mambo haya mkuu jipange aisee usifate mkumbo


Mi nahangaika na kabinti kangu nakakuza mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…