mmmh nyamayao wewe inabidi uwe kungwi kwenye vichen party maana una kila aina ya uzoefu ktk ndoa :biggrin1:inakera sana, halafu huyu X wa mr alitaka kunitengenezea mazingira ya kumwamini, anacall muda anaojickia, utakachoona call c ya kawaida hata kabla hawajasalimiana utackia mr anasema" hallow fulani, eehh nipo home, na wife yupo tumepumzika kdgo, vipi wewe huko"".....na maongezi yatakuwa mafupi sana mpaka utajiuliza amemcal ili iweje na hakuna cha maana walichoongea...mr akimaliza hapo na yeye kutaka kumalizia kunifunga utackia""fulani anakusalimia""mxxssiii....khaaa...nilienda nae mdogo mdogo cku nilipomtolea hacra nikamwambia sasa ukitaka nimcal hata mume wako sasa hivi naweza na nikaanza kukuharibia kabla cjamaliza kuharibu mazima tutakapokutana face 2face...nikamtajia na no ya mumewe...msamaha zilifululizo hapo ..".ooh jamani bac yaishe"...anabaki kushangaa no ya mume wake nimeipatia wapi na watu tupo mbali....
Kumbe ungeyajua usingeolewa? Unaiongeza hofu yangu. Yaani sitaki kumwingiza mtu yeyote katika mazingira ya majuto maana itaniweka kwenye guilt kila siku. Je akitokea anayeridhika kuolewa na mimi nimwambie ukweli kuwa nilishakuwa na 5 girlfriends na mmoja wao ni outspoken HIV/AIDS activist aliyetangaza HIV positive status yake hadharani, na tena yuko very popular in the media siku hizi? Nisiposema akija kugundua atasema 'najuta'! Nikisema, hata suala la "tukapime kwanza" hatalitilia maanani, ataogopa unyanyapaa.
Halafu nyie wanawake ndio mnatufanya tuwe na ma-ex wengi. Mi katika exes wangu 5, ni mmoja tu nilimtamkia mimi kumuacha. Wengine walinipotezea kiaina kufuata "opportunities" na mimi sikuwa na hiyana maana mapenzi ni hiyari, na waliporudi na hadithi tofauti walikuta nimefunga milango isipokuwa ya urafiki wa kawaida au hata kunaniliu occasionally walipokuwa hawajaolewa but strictly no strings attached. Sasa leo nikioa bado nina historia ya rundo la exes, ambao nyie akina Mom na Nyamayao hamtaki hata tusalimiane nao!
true ndugu am not afraid of the storms ndio maana nimefika hapa, ila wivu juu ya mume wangu unanisumbua!
Kumbe ungeyajua usingeolewa? Unaiongeza hofu yangu. Yaani sitaki kumwingiza mtu yeyote katika mazingira ya majuto maana itaniweka kwenye guilt kila siku. Je akitokea anayeridhika kuolewa na mimi nimwambie ukweli kuwa nilishakuwa na 5 girlfriends na mmoja wao ni outspoken HIV/AIDS activist aliyetangaza HIV positive status yake hadharani, na tena yuko very popular in the media siku hizi? Nisiposema akija kugundua atasema 'najuta'! Nikisema, hata suala la "tukapime kwanza" hatalitilia maanani, ataogopa unyanyapaa.
Halafu nyie wanawake ndio mnatufanya tuwe na ma-ex wengi. Mi katika exes wangu 5, ni mmoja tu nilimtamkia mimi kumuacha. Wengine walinipotezea kiaina kufuata "opportunities" na mimi sikuwa na hiyana maana mapenzi ni hiyari, na waliporudi na hadithi tofauti walikuta nimefunga milango isipokuwa ya urafiki wa kawaida au hata kunaniliu occasionally walipokuwa hawajaolewa but strictly no strings attached. Sasa leo nikioa bado nina historia ya rundo la exes, ambao nyie akina Mom na Nyamayao hamtaki hata tusalimiane nao!
true ndugu am not afraid of the storms ndio maana nimefika hapa, ila wivu juu ya mume wangu unanisumbua!
wewe bwana u si wivu ni kwamba unalinda mali yako
nt wivu ata kdg ni hekima na busara kumlinda mumewako
mmmh nyamayao wewe inabidi uwe kungwi kwenye vichen party maana una kila aina ya uzoefu ktk ndoa :biggrin1:
Roy...maisha ya ndoa yamenikomaza sana, yamenifanya niwe mgumu ki kweli, kuna wakati nilifikia kukata tamaa baadae nikaona hapana sio kirahic hivi mpaka kieleweke, na kilichochangia zaidi niliingia kwenye ndoa nikiwa na akili ni ya wawili tu...(nyamayao &mr) ckujuaga purukushani zingetokea, akili yangu ile "baby" ya uchumba ingedumu milele bila mikwaruzo....kumbe nilikuwa naota...hata hivyo sasa hivi nimepumua.
ninavyoyachukia hayo makitu...lol, nimekomazwa kaka yangu na haya mambo wacha tu.
Kweli cha moto umekiona katika maisha kila mfano hai na mfu unao.
Hongera sana unatufundisha nini sisi wadogo wako sasa nini tufanye?
Kweli cha moto umekiona katika maisha kila mfano hai na mfu unao.
Hongera sana unatufundisha nini sisi wadogo wako sasa nini tufanye?
Ndiyo, ni kwa nyakati tofauti. Pale Mlimani hadi namaliza nilishakuwa na 3, wakipishana hivyo, sikuwahi kuwa na zaidi ya mmoja at a time. Huyo niliyemuacha alikuwa gold digger wa ukweli, kama umewahi kusikia watu wa namna hiyo. Hao wengine baadhi yao ni kama walikuwa hawajielewi wanachokitaka. Yuko mmoja alinitosa akaenda kuchumbiwa wakati wa zile likizo ndefu za chuo akarudi na engagement ring kuubwa na picha za tukio hilo, lakini hakuolewa na yule jamaa! Tulipomaliza wakati nimepata kazi kwenye kikampuni flani cha kimagirini pale posta akawa ananifatilia kweli mara anipe ofa za kwenda dinner, tukirudi ghetto kwake namega na ndomu kisha nalala mbele, sitaki strings. Ni opportunist flani, siku hizi keshaolewa na jamaa flani hakimu. Huo ni mfano mmoja tu.ningejua ningeolewa tu ila nikijua kwamba hili au lile laweza tokea. ukimpata akupendae unamueleza ukweli tu na mnaenda kupima. kama anakupenda hatakataa, ila sasa nawe hao5 ulikua nao kwa nyakati tofauti ama? na uliemkataa alikukosea ama?
mi sikatai kusalimiana maana hata mi nasalimiana na x wangu tukikutana hatukuachana kiugomvi! shida kuwa too close na x mpaka kujisahau umeoa na yule nae ana wake hapo ctaki kabisa!
Jamani najisikia wivu sana huyu x anavyozoeana na mume wangu, ameolewa ana mtoto, akihitaji ushauri lazima amconsult mr kwanza, hata kuapply kazi mr amsaidie kuandika barua. Ni wivu tu unanisumbua jamani
Jamani najisikia wivu sana huyu x anavyozoeana na mume wangu, ameolewa ana mtoto, akihitaji ushauri lazima amconsult mr kwanza, hata kuapply kazi mr amsaidie kuandika barua. Ni wivu tu unanisumbua jamani
dah..hii sredi...I wish ningekuwa na X huenda ni ngekuwa na cha kusema....lakini for now wacha nizibe mdomo kabisa