Vinci
JF-Expert Member
- Jul 6, 2009
- 2,638
- 668
hujaona hapo juu?...Michelle ameshamaliza japo ana mambo mengi ila obama anampa tafu
Yani we umetoka nje kwanza alafu ndo utafute utatuzi wa tatizo??Kwanini hukuanza na kuomba ushauri..kujaribu kurekebisha mambo yenu na kutatua tatizo mlilokua nalo??MICHELLE UKO WAPI MAMA?Kwa style hamna kudanganyika!