Habari zenu wapendwa..
Nimeolewa na nina mtoto mmoja na nampenda sana mume wangu.
Mimi na hubby wangu tumekaa ktk relationship for more than five years ndipo tukafunga ndoa.
We were so much into each other hadi nilipofanikiwa kupata mtoto last year mambo yakaanza kubadilika.
Ni mtu ambaye yuko bize sana na kazi.
Since niwe na mtoto tumekuwa tunastruggle kwenye tendo la ndoa kwani mwenzangu huwa hajisikii au amechoka like all the time..
Sasa tuna miezi mitatu bila kugegedana na nimejaribu kuzungumza nae kama kuna tatizo anasema anachoka sana na kazi..
Plz nisaidieni kimawazo kama wanaume wakichoka sana hawawezi kuwa na huo uhitaji kwani ndiyo mwanaume pekee niliyewahi kuwa nae.
Asanteni
three months ni mda mrefu lakini take your time ujichunguze wewe kama wewe.. kwa hiki kipindi take care of yourself more than ever jipende dada kama umenenepeana jaribu kufanya diet plus mazoezi a woman has to be fit en sexy dear, na kama uwezo unaruhusu atleast weekend moja mtoke na mtoto na mumewako mkaspend kidogo yan jaribu kurudisha yale mazingira ya kipindi cha nyuma..
na jaribu kua more of a friend kwake muelewe
Jamani we dada.......Vunja ukimya.....
Na akwambie asipokupa yeye anataka nani akupe...