Escrowseal1
JF-Expert Member
- Dec 17, 2014
- 4,445
- 4,233
Kwa hiyo aendelee Nae pamoja na kutembea na mama . Disqualification isiyo na Chenga Wala kupepesa macho. Men wako wangapi ?watu wanatemwa Kwa kutembea nje sembuse kutembea na mama ???&£/@%#Forward hizo sms kwao then kaa kimya bila kuwauliza chochote...hiyo ndo adhabu kubwa kuliko zote ..I did da same thing kwa boss wangu alipotembea na mzazi mwenzangu ...niliscreen shot conversation zao then nikawaemail na kuwaambia just thanks...then nilimwomba Mungu anipe ujasiri na moyo wa msamaha...toka July 2014 mpk leo sijawahi kumuuliza chochote boss wangu...alikonda na kukosa amani...tulikuwa tukikaa same office anatoka kwenda nje...ananiangalia then hajui aanzie wapi...me naishi nae as if nothing kimetokea...nacheka na sometime mpk tunagonga mikono mpk leo sijawahi kumuuliza na sitamuuliza na mzazi mwenzangu nilishamtema japo kutembea na bos wangu ilikuwa ni moja kati ya sababu nyingi zilizofanya nimuache....so maisha yanaendelea ila boss mpk leo hata nisipoenda kazini haniulizi atamtuma mtu aniulize..she is very uncomfo...yaani adhabu kubwa kuliko zote kwa mtu wako wa karibu anayekuumiza ni kumwonesha umejua then unamlipa mazuri badala ya mabaya..trust me hiyo adhabu mme wako hatokaa arudie....na usimpe chance kuongea....ongeza upendo kwake...akitaka kuzungumza mhug and kiss him....mpikia favourite foods....mwenyewe ataitisha kikao kukuomba msamaha bila kumwuliza chochote.