duu!!so sorry sister it happens even if u will get advice from jf but all in all the last say its remain to u....km unaweza kumuuliza husband wako kuwa unajua what is going on btn him and your mummy it will be better....pia ukamweleza mzazi wako kuwa unajua kinachoendelea nayo pia ni njema....mwisho uamuzi wa kuendelea au kutoendekea naye unao ww mwenyewe....dhambi ambayo hata ktk biblia inaruhusiwa kuvunja ndoa ni kama huo wa kuchepuka.
Umeongea bonge la point, ni kwa wale wote wenye viherehere vya kutaja elimu yao, kuna uzi nyingi humu hamna uhusiano wa elimu na uzi maana vinaenda sehemu mbili tofauti.Nawashauri wote! unapoanzisha thread acha kujitambulisha level ya elimu yako, baadhi inawaaibisha wenyewe maana haifanani na unavyotoa mada!
Wewe nawe jipu, ulijifinza hesabu wapi?39-25=11 hili nalo jipu
Na baba yake mwenyewe ndiye mimi, so mwambie ani PM tu sasa maana hakuna namna.Kamwaga mboga we toboa masufuria kabiasa
Mtafute baba yake lipiza
Na baba yake mwenyewe ndiye mimi, so mwambie ani PM tu sasa maana hakuna namna.
nimesoma Tanganyika school