Mume wangu anataka kuniingilia kinyume na maumbile

Dada uliyepata na mkasa huu pole sana, naamini wapo wengi wenye mikasa kama hiii ndani ya ndoa.

Ushauri, naomba tutoe ushauri endelevu kwa wanandoa iwe kwa mwanamke au mwanaume, kwani minyanyaso ipo pande zote.

Ushauri wangu kwa huyu dada, kwanza akaonane na vyama vinavyotetea haki, kama Tamwa, Tawla nk wao watamshauri namna ya kufanya kisheria, kuhusu ndoa yake na haki zake zote ndani ya hiyo ndoa.

Pili awasiliane na waliowafungisha ndoa endapo imefungwa kidini. Wazazi wa kiroho wana nafasi na wanaweza kuwashauri wanandoa hawa juu ya mstakabali wa ndoa yao.

Naona hakuna haja ya kushirikisha wazazi, kwani hawatakuwa na la kufanya, wazazi wa mwanaume hawataamini kinachosemwa na mwanamke na wazazi wa mwanamke, watakirihika na damu kuchemka kiasi cha kutaka talaka itolewe papo papo waondoke na binti yao kwani mzazi yeyote hawezi kuvumilia huo uibilisi.

Ninapenda wana JF tusaidiie kutoa njia ya kuzuia mambo yasiyokubalika kama haya, hawa wanaotendewa haya ni dada zetu, watoto wetu, shangazi zetu nk.

Natoa wito katika JF, tufikirie namna ya kuanzisha thread endelevu kushauri kuhusu masuala ya ndoa na haki za wanandoa.

Ni dhahiri huyu dada hajui haki zake na ana hofu ya kuogopa kueleweka vibaya na jamii endapo akitoka katika ndoa yake, kwani watu wanapenda kujua umetoka katika ndoa kwa sababu ipi? Sasa tunaelewa sababu ni nyingi, nyingine ni udhalilishaji, unyama wanaofanyia akina dada kama huu!!!

Akina dada hawana haja ya kukaa katika ndoa, ambayo tayari mwenzi ameshavunja misingi ya ndoa.

Katika uelewa wangu mdogo wa sheria, nakumbuka kusoma mahali fulani, kile kitendo cha mwanandoa ( mwanaume ) kudai tendo la ndoa kwa njia ya kinyume cha maumbile na kumwingilia kinyume na maumbile, ni kwamba mwanaume amevunja ndoa tayari.

Kuepuka majanga kama ya huyu dada, wanandoa tunahitaji kumuendea ( MUNGU) yeye aliyeanzisha taasisi ya ndoa, na kuomba kupata msaada wake wa jinsi ya kupata mwenza sahihi wa ndoa.

Watu wengi na hasa wadada wanaingia katika ndoa kwa sababu potofu, kama utajili au nguvu za kiuchumi za mwenzi wa ndoa na bila kuweka vipimio sahihi katika msingi halisi wa ndoa. Angalia kama unayefunga ndoa naye ana hofu ya kweli ya Mungu! Kwani anayempenda na kumwogopa Mungu, atampenda kiumbe wa Mungu ambaye ndiye mke au mume wako.

Mungu awabariki wana ndoa na watu wanaofikiria kuingia kwenye ndoa, ndoa ni raha kabisa kwani yupo anayefanana na wewe, tusivunjwe moyo wa mafisadi wachache wa ndoa, ambao wao ni ufisadi kila eneo.
 
dini gani kwa zilizopo zinzzoruhusu haki ya ndoa iwe kinyaa hicho. si kwa masikio yangu wala kwa macho yangu sijawahi ona maandiko ya Kimungu yanayoruhusu uchafu huu.tena imeainishwa vema kua mtanda na mtendwaji mahali pao ni jehanam tuu.inakuje hiyo iwe haki ya ndoa????


haya ni ipi kwa zilizopo inayokataza?:rolleyes:
 
Huyo mwanamke atoe talaka yeye kumpa mume wake then ajiondokee. Nina uhakika jamaa hatamfata tena. Haya mambo ya vikao hayana maana yoyote kwani baada ya kikao anarudi tena nyumba ile ile na kitanda kile kile mnategemea nini??
 
heheee mpaka ni-consult ze holi buku kwanza......si nshakwambia leo nimeamkaje B??


aaaw..my bad...okay B..fanya consultation kisha uje na kitu hapa...umenionea hommie leo B? labda akizungukazunguka huko
 
aaaw..my bad...okay B..fanya consultation kisha uje na kitu hapa...umenionea hommie leo B? labda akizungukazunguka huko

hahaaaa katoroka hata huku chobingo simuoni (afu naye huyu ana katabia mmh!!! kimya kimya tu!!)
 
hahaaaa katoroka hata huku chobingo simuoni (afu naye huyu ana katabia mmh!!! kimya kimya tu!!)

Ukitakakumchinja kuku, usimpigie kelele si atakimbia afu utakuwa umekiuka haki za wanyama B! Lol Hommie anado ze nidiful
 
Ukitakakumchinja kuku, usimpigie kelele si atakimbia afu utakuwa umekiuka haki za wanyama B! Lol Hommie anado ze nidiful

hahaaa haya bana leo poa tu hamna mbaya
BTW: huu mjadala haufungwi ukarudisha majibu kule ulikotoa hii kitu??
 
hahaaa haya bana leo poa tu hamna mbaya
BTW: huu mjadala haufungwi ukarudisha majibu kule ulikotoa hii kitu??

nilisharudisha awamu ya kwanza, sasa kuna wasongo wameona kumbe hawajatoa maoni yao,sasa tukiuke kifungu cha 18 cha katiba ya jamhuri ya muungano wa tz? LOL
 
nilisharudisha awamu ya kwanza, sasa kuna wasongo wameona kumbe hawajatoa maoni yao,sasa tukiuke kifungu cha 18 cha katiba ya jamhuri ya muungano wa tz? LOL

kheeee jamani leo mbona kitaaaluma zaidi!!!!!

nimekusoma B!!!
 
bora ndoa ife kuliko kutoa tigo,ugawaji wa tigo una madhara mengi kwa mama na mbaya zaidi mungu hajaumba hiyo ki2 kwa matumizi hayo.kwanza huyu baba ni katili sana yaani yuko razi mke afe kisa kabaniwa tigo!!!hivi hii wanadamu mbona tumewehuka sana!!!kina mama say NO to tigo kama wanasepa na wasepe lkn wasituone sisi ni kama sungura wa majaribio na sio binadamu maana kila kitu cha ajabu wanataka kutufanyia,vitu wanavyofanya huko nje na machangudoa wanavileta nyumbani,leo watataka tigo ukikubali kesho atakujia na jingine.
 
1.HUYO SIYO MUME BALI NI..SIJUI HATA CHA KUSEMA!

2.Hakuolewa ndoa bali kajiingiza kwenye utumwa wa kisasa - contemporary slavery!

3.Bahati mbaya hajatuambia kama anampenda huyo mume bado au la maana hili nalo ni muhimu kulijua kabla ya kumshauri.Kitendo anachomfanyia ni ukatili uliokithiri maana umo kwenye ndoa na siyo uhusiano wa kihivihivi.

4.Ingekuwa mimi, ningeondoka maana hatakaa afurahie ndoa yake hata kidogo.Bahati mbaya hakuacha contacts zake tungemsaidia hata hayo matibabu yanayomfanya amng'ang'anie huyo shetwani!

5. Kuna mambo ya kuvumilia lakini siyo udhalilishaji wa kiwango hiki.Kitendo cha kuingiliwa kinyume ni kitendo kiovu na hata kiimani imekatazwa.Wanaokiuka basi wawe wamekubaliana wenyewe lakini siyo kulazimishana!
HUYO MWANAUME ALAANIWE NA SIKU YA KIYAMA AWE NI KUNI KATIKA TANURU LA KUUNGUZA WALIOHUKUMIWA JAHANAMU!

Lakini ninyi si mmefanywa mwili mmoja?????????????Msinyimane (Maandiko yamesema
 
Back
Top Bottom