Mume wangu anachepuka

Mume wangu anachepuka

Pole dada yangu kwa unayo pitia.
Binafsi sipendi kuwa wa kwanza kumuambia mtu atoke kwake ila:
Kama hujafunga ndoa na huna mtoto; Hapo mungu anakuonesha kuwa huyo sio muoaji/mume
Naomba ukimbie haraka...
Kama hujitegemei...jitahidi akupatie mtaji/kianzio halafu uchape lapa
 
hujaulewa bado unaumiza kichwa na kujizeesha bure kwa majukumu ya wife kabla hujawa wife n una umri mdooogo sana unavumilia amekuwa baba yako huyo??????????????
 
Habari za uchaguzi wakuu,Poleni na heka heka.

Mim ni binti wa miaka24 naishi na mwenzagu hatujazaa bado, tabia ya mwenzagu inanikera kwakeli anatabia ya kurudi usiku sana sa 10 mpk 11 siku nyingne nimeongea nimechoka siku hizi namuanglia tu nshawambia wazee,wazazi lakini mwezangu hasikii kwa madai yake anakuwa na washkaji bar ( sijui wao hawana familia) hii imekuwa tatizo kwangu mpaka nimezoea nimeamua kukaa kimya.

Kitu kingine ni suala la mtoto sote tunahuitaji wa mtoto hospitali wanaseni mim nipo sawa (yeye hajapima) lakini nikimuuliza mwenzgu labda ktk pita pita zake ashawahi kumpachika binti mimba anakaa saivi nikimuuliza anasema yupo ina miezi mitatu Mara nakutania hakuna kitu kama icho nanyamaza tu ikipta kama miezi nkamuuliza tena akakubali yupo anayo baadae anasema nakutania namuaglia tu.

Sasa leo tumewasiliana vizuri tu baadae simu yangu ikaaita kumbe imejipinga naskia sauti anaongea na mke kwenye gari nimewasikiliza sana tu.Nashindwa kumuelewa kabisa huyu bwana.

Wakuu naomba mnisaidie bado sijafunga ndoa mimi ndo nasita sita naogopa mno nahisi hata mimba haingii ni Mungu tu ananiepusha na kitu nimevumilia mno ila moyo unauma mno aisee ( poleni kwa kuwachosha.)

Nahitaji ushauri wa faraja sio matusi

Ninyi bado ni watoto
Endeleeni kucheza
Ndoa si masihara......
 
Habari za uchaguzi wakuu,Poleni na heka heka.

Mim ni binti wa miaka24 naishi na mwenzagu hatujazaa bado, tabia ya mwenzagu inanikera kwakeli anatabia ya kurudi usiku sana sa 10 mpk 11 siku nyingne nimeongea nimechoka siku hizi namuanglia tu nshawambia wazee,wazazi lakini mwezangu hasikii kwa madai yake anakuwa na washkaji bar ( sijui wao hawana familia) hii imekuwa tatizo kwangu mpaka nimezoea nimeamua kukaa kimya.

Kitu kingine ni suala la mtoto sote tunahuitaji wa mtoto hospitali wanaseni mim nipo sawa (yeye hajapima) lakini nikimuuliza mwenzgu labda ktk pita pita zake ashawahi kumpachika binti mimba anakaa saivi nikimuuliza anasema yupo ina miezi mitatu Mara nakutania hakuna kitu kama icho nanyamaza tu ikipta kama miezi nkamuuliza tena akakubali yupo anayo baadae anasema nakutania namuaglia tu.

Sasa leo tumewasiliana vizuri tu baadae simu yangu ikaaita kumbe imejipinga naskia sauti anaongea na mke kwenye gari nimewasikiliza sana tu.Nashindwa kumuelewa kabisa huyu bwana.

Wakuu naomba mnisaidie bado sijafunga ndoa mimi ndo nasita sita naogopa mno nahisi hata mimba haingii ni Mungu tu ananiepusha na kitu nimevumilia mno ila moyo unauma mno aisee ( poleni kwa kuwachosha.)

Nahitaji ushauri wa faraja sio matusi

Dawa ya moto ni moto
 
Kumbe hujafunga ndoa hebu changanya miguu Kimbia haraka sana

Afanye kama huyu jamaa hapa...

avatar16111_4.gif
 
Eeh pole sana, Sina cha kushauri make cha kufanya unakijua wewe....
 
Ahaaaaa ur too young 4 those sheet mdg wangu na kimbia hatari huna mtt anakuchosha ukiwa nao wanne si atakumbia? Ifike mahali wanawake muone taa nyekundu my take ur time ur too young 4 that sheet unaogopa kuanza maisha ur too young!!
 
Naomba ujipende, wafikirie wazazi wako waliokuzaa walivyokuthamini na wanavyokupenda. Huyo ni nani tena hajakuoa bado anakufanyia ushenzi ushenzi, una kilema gani wewe kwamba hutapata wa kukupenda. Usimwache akupotezee muda wa ujana wako. Ondoka kabla hajakusababishia maradhi yasiyopona ukajuta zaidi ya muda uliopoteza.
 
Back
Top Bottom