Mume wangu anachepuka

Mume wangu anachepuka

Usikimbie nyumba yako hata kama bado hamjafunga ndoa jaribu kukaa na mwenzako muongee na pia jaribu kukumbuka ibada kila siku maombi yako yaelekeze kwa mungu atabadilika na mtaishi tu kwa Amani.usichoke omba kila siku usikimbie matatizo tafuta suluhu.

PIA UMRI NDIO UNASABABISHA HAYO. ATAKUA NA ATATULIA
MUNGU ATAKUSAIDIA
AMEEEN.

Mpaka huyo mume akue yeye anavumiliaga tu???
 
Habari za uchaguzi wakuu,Poleni na heka heka.

Mim ni binti wa miaka24 naishi na mwenzagu hatujazaa bado, tabia ya mwenzagu inanikera kwakeli anatabia ya kurudi usiku sana sa 10 mpk 11 siku nyingne nimeongea nimechoka siku hizi namuanglia tu nshawambia wazee,wazazi lakini mwezangu hasikii kwa madai yake anakuwa na washkaji bar ( sijui wao hawana familia) hii imekuwa tatizo kwangu mpaka nimezoea nimeamua kukaa kimya.

Kitu kingine ni suala la mtoto sote tunahuitaji wa mtoto hospitali wanaseni mim nipo sawa (yeye hajapima) lakini nikimuuliza mwenzgu labda ktk pita pita zake ashawahi kumpachika binti mimba anakaa saivi nikimuuliza anasema yupo ina miezi mitatu Mara nakutania hakuna kitu kama icho nanyamaza tu ikipta kama miezi nkamuuliza tena akakubali yupo anayo baadae anasema nakutania namuaglia tu.

Sasa leo tumewasiliana vizuri tu baadae simu yangu ikaaita kumbe imejipinga naskia sauti anaongea na mke kwenye gari nimewasikiliza sana tu.Nashindwa kumuelewa kabisa huyu bwana.

Wakuu naomba mnisaidie bado sijafunga ndoa mimi ndo nasita sita naogopa mno nahisi hata mimba haingii ni Mungu tu ananiepusha na kitu nimevumilia mno ila moyo unauma mno aisee ( poleni kwa kuwachosha.)

Nahitaji ushauri wa faraja sio matusi
kwahiyo akirudi alfajiri ndio mnazini?
 
Habari za uchaguzi wakuu,Poleni na heka heka.

Mim ni binti wa miaka24 naishi na mwenzagu hatujazaa bado, tabia ya mwenzagu inanikera kwakeli anatabia ya kurudi usiku sana sa 10 mpk 11 siku nyingne nimeongea nimechoka siku hizi namuanglia tu nshawambia wazee,wazazi lakini mwezangu hasikii kwa madai yake anakuwa na washkaji bar ( sijui wao hawana familia) hii imekuwa tatizo kwangu mpaka nimezoea nimeamua kukaa kimya.

Kitu kingine ni suala la mtoto sote tunahuitaji wa mtoto hospitali wanaseni mim nipo sawa (yeye hajapima) lakini nikimuuliza mwenzgu labda ktk pita pita zake ashawahi kumpachika binti mimba anakaa saivi nikimuuliza anasema yupo ina miezi mitatu Mara nakutania hakuna kitu kama icho nanyamaza tu ikipta kama miezi nkamuuliza tena akakubali yupo anayo baadae anasema nakutania namuaglia tu.

Sasa leo tumewasiliana vizuri tu baadae simu yangu ikaaita kumbe imejipinga naskia sauti anaongea na mke kwenye gari nimewasikiliza sana tu.Nashindwa kumuelewa kabisa huyu bwana.

Wakuu naomba mnisaidie bado sijafunga ndoa mimi ndo nasita sita naogopa mno nahisi hata mimba haingii ni Mungu tu ananiepusha na kitu nimevumilia mno ila moyo unauma mno aisee ( poleni kwa kuwachosha.)

Nahitaji ushauri wa faraja sio matusi

huyo atakua ajanga, muepuke mapema
 
Habari za uchaguzi wakuu,Poleni na heka heka.

Mim ni binti wa miaka24 naishi na mwenzagu hatujazaa bado, tabia ya mwenzagu inanikera kwakeli anatabia ya kurudi usiku sana sa 10 mpk 11 siku nyingne nimeongea nimechoka siku hizi namuanglia tu nshawambia wazee,wazazi lakini mwezangu hasikii kwa madai yake anakuwa na washkaji bar ( sijui wao hawana familia) hii imekuwa tatizo kwangu mpaka nimezoea nimeamua kukaa kimya.

Kitu kingine ni suala la mtoto sote tunahuitaji wa mtoto hospitali wanaseni mim nipo sawa (yeye hajapima) lakini nikimuuliza mwenzgu labda ktk pita pita zake ashawahi kumpachika binti mimba anakaa saivi nikimuuliza anasema yupo ina miezi mitatu Mara nakutania hakuna kitu kama icho nanyamaza tu ikipta kama miezi nkamuuliza tena akakubali yupo anayo baadae anasema nakutania namuaglia tu.

Sasa leo tumewasiliana vizuri tu baadae simu yangu ikaaita kumbe imejipinga naskia sauti anaongea na mke kwenye gari nimewasikiliza sana tu.Nashindwa kumuelewa kabisa huyu bwana.

Wakuu naomba mnisaidie bado sijafunga ndoa mimi ndo nasita sita naogopa mno nahisi hata mimba haingii ni Mungu tu ananiepusha na kitu nimevumilia mno ila moyo unauma mno aisee ( poleni kwa kuwachosha.)

Nahitaji ushauri wa faraja sio matusi

Pole ka uvumilivu uliotendeka . Omba mungu akupe uhai na uzima ufunge ndoa ya haraka.Mungu atakusaidia na Ndoa yenyu itabarikiwa na neemaa
 
Habari za uchaguzi wakuu,Poleni na heka heka.

Mim ni binti wa miaka24 naishi na mwenzagu hatujazaa bado, tabia ya mwenzagu inanikera kwakeli anatabia ya kurudi usiku sana sa 10 mpk 11 siku nyingne nimeongea nimechoka siku hizi namuanglia tu nshawambia wazee,wazazi lakini mwezangu hasikii kwa madai yake anakuwa na washkaji bar ( sijui wao hawana familia) hii imekuwa tatizo kwangu mpaka nimezoea nimeamua kukaa kimya.

Kitu kingine ni suala la mtoto sote tunahuitaji wa mtoto hospitali wanaseni mim nipo sawa (yeye hajapima) lakini nikimuuliza mwenzgu labda ktk pita pita zake ashawahi kumpachika binti mimba anakaa saivi nikimuuliza anasema yupo ina miezi mitatu Mara nakutania hakuna kitu kama icho nanyamaza tu ikipta kama miezi nkamuuliza tena akakubali yupo anayo baadae anasema nakutania namuaglia tu.

Sasa leo tumewasiliana vizuri tu baadae simu yangu ikaaita kumbe imejipinga naskia sauti anaongea na mke kwenye gari nimewasikiliza sana tu.Nashindwa kumuelewa kabisa huyu bwana.

Wakuu naomba mnisaidie bado sijafunga ndoa mimi ndo nasita sita naogopa mno nahisi hata mimba haingii ni Mungu tu ananiepusha na kitu nimevumilia mno ila moyo unauma mno aisee ( poleni kwa kuwachosha.)

Nahitaji ushauri wa faraja sio matusi
Sasa mpaka hapo kweli mdogo wangu unasubiri kushauriwa? au huyo ndio alokufundisha maji usiite mmma?
24yrs huna chakupoteza kwa huyo jamaa chapa mwendo anakupa nini zaidi ya kukuchokoa ROHO yako?
au nikulize labda ni kitu gani ambacho unakipata kwake ambacho unahisi au unaona mwanamme mwengine hawezi kukupa? anakusaidia nini labda? sorry kama ntakua nimeongea sana...
 
nimecheka ka mazuri, ni quote pale unakomuuliza katika pitapita zako hujawahi mpachika binti mimba nae anajibu yupo wa miez kadhaa halafu anacheka. sasa wewe unachukia nini wakati unataka majibu.

pole sana sister Fanya uamuzi mgumu kama Lowassa usepe.
 
Mmmmmh,pole Mamy ila jaribu kumuekea kikao na wazaz was pande zote Kama hasikii hakufai Mamy mwanaume ukiona anakudharau ndani hakupendi tena uyo
 
Heee una 24 yrs cha kujizeesha na stress huku hujaolewa.?? Sepaaaaa
 
Pole mpenzi. We vumilia ukitaka kuachana utaachana na wangapi? Kila mtu ana mapungufu yake,
 
Back
Top Bottom