Pole, nafikir unasubiria ukimw, huyo mumewe hakueshimu, hakuthamini na kunguru hafugiki ila ukichukua hx Ata kabla hajaoa alikua Malaya huyo, nikusii uwambie wazaz , wamshaur, viongoz wako wa din, ndugu, marafik, asipobadilika ndio ubebe beg lako, Lakin wanaume mjifunze na nying, Yan mke pesa zake wala, magar, afu upo kwake, house girl unapitia, folen Za kutosha jaman na Hao wanawake wanamoyo, y mtu humtaki umfanyie makusud hivyo mwambie ckutaki aanze maisha yake, ila wanawake jifunzeni mwanaume akifikia hatua hiyo huna aja yakuomba ushaur uku, unatakiwa ujiulize unaitaji kuishi bado au kufa na ukimw, fanya mamuz magumu kwa faida yako na kwa faida ya watoto wako kama mmezaa nae, pili tambua tabia ya mwanaume habadiliki Ata cku moja, Malaya kabla ya ndoa Ata bada ya ndoa ataendelea