Mume wake anawamini marafiki kuliko mke wake

Mume wake anawamini marafiki kuliko mke wake

Hilo janaume ni lichoyo na libinafsi

Na dawa ya mijanaume michoyo ni mke kutafuta vyako tu.......

Nunua kiwanja then unamwambia nimenunua kiwanja hati anahifadhi mama/sista/baba

Nunua gari ukisafiri peleka kweny ikishindikana safiri na funguo gari laza ccm...

Miezi 2 tu atanyooka maana mchoyo ukimlipizia roho inamuuma.

Kuna jirani yangu mmoja alinunua kiwanja na kujenga halafu akamuandikisha mkewe urithi......alichofanya mke akanunua kiwanja chake...mwanaume alihangaika hadi kwa padri ili mwanamke amuweke kwenye kiwanja.....
Mfyuuuu za michoyo na mibinafsi

Naona wachoyo wenzie wanasema nisihukumu, teh mi sihukumu na mke alinambia hilo gari lilikua ndo kama "lodge"
na hizi group za kifwara za whatsapp mibaba mizima inachati usengerema akakuta msg za mme akichat kwenye grp kaandika "mie lodge nikafanyeje nawatmbea tu humu kwenye gari" na kuna vitu vya kike mwanamke alishavifuma ndani ya gari....
sasa kama gari ndio lodge saa ngapi atajiamini na kumuachia mke anajua mke anaezakutana hata uso kwa uso na bikini
 
U wanna tell me kwamba kwenye ndoa zoooote zinazoenda hovyo hovyo na kuyumba, ni wanaume pekee ndo causatives??!!! Nyie wanawake ni malaika eeh? Hakuna wanawake ambao ni wachoyo & selfish kwenye ndoa na huwanyanyasa waume zao?

As long as we are human beings, provided that IMPERFECTION was inherited by all humans, then any spouse (me au ke) can mess up in their marriage! Jenga hoja, na sio kutoa 'majibu rahisi'. BTW... mekumiss mpk nakonda moyo. Unajua dada nakotogirwe sanaaa
nani kasema wanaume ndo causatives? Hilo umesema wewe
kuna uzi nliandika wa mwanamke anaekomalia zawadi za kitchen party ni zake tu
leo kete ya kiumeni naona umefura ha ha ha relax kaka angu no one is perfect
nakotogirwe pia
 
Loh
Kuna baadhi ya wanaume kuishi nao ni wito...
Ndio maana analificha gari



Naona wachoyo wenzie wanasema nisihukumu, teh mi sihukumu na mke alinambia hilo gari lilikua ndo kama "lodge"
na hizi group za kifwara za whatsapp mibaba mizima inachati usengerema akakuta msg za mme akichat kwenye grp kaandika "mie lodge nikafanyeje nawatmbea tu humu kwenye gari" na kuna vitu vya kike mwanamke alishavifuma ndani ya gari....
sasa kama gari ndio lodge saa ngapi atajiamini na kumuachia mke anajua mke anaezakutana hata uso kwa uso na bikini
 
hapo kale kausemi ka "Usimwamini mwanamke kwani siyo ndugu yako" kamemkaa huyo mume barabara ndo anakaapply hivyo!
 
hakika upo sahihi japo nataka nikudodose kitu hapa ndugu Yangu . Mali kuandikwa majina ya ndugu sio sahihi lkn inatokea tu kama sijabahatika kuwa na mtoto hata mmoja , na labda nimeoa kabila flani hivi ambalo wanatamaa sana na Mali na nimeoa wakati hizo mali ninazo lazima zipigwe chata ya ndugu hapo
Inaweza kuwa sawa mkuu hata baadhi ya mali unaweza kuwagawia ndugu wenye uhitaji haina shida,ndio ujamaa huo ila ni lazima nafasi ya mke ibaki palepale na ana haki ya mali hizo, kuondoa utata zile unazotaka kusaidia ndugu wape kabisa ila za familia zibaki za kutosha.
 
Back
Top Bottom