makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 28,114
- 80,968
ukivuruge unaponza watu.. Mi ntamrudisha mapema siwezi stress kabisa. Hadi umenifanya nimmiss. Wewe ndo mnawezana wenyewe
ukivuruge unaponza watu.. Mi ntamrudisha mapema siwezi stress kabisa. Hadi umenifanya nimmiss. Wewe ndo mnawezana wenyewe
Labda kama hana pesa.Wolper awe na amani, kuibiwa hapa si rahisi
Dina ukuje hapa.. nikupe mji kitendawili hiki kinanivurugaKwanini sasa akatae na yeye. . I can't wait kuona his messages. Midole ya kutosha inatuhusu.
Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
Kwanin akatae.. atakuwa mzembeEhheehhe hawezi kubali
sasa jibu limepatikana..Kwangu hawezi kufanya vile ,,labda kwa wengine ahahah,,nadhan atakuwa ashafika sasa
Hivi ulinipotezea kale ka wine,,mbaya weweeesasa jibu limepatikana..
Jero naro ni hera ndugu yangu wewe(brother k's voice)
Unamjua Mdudu Kaa?Huyo mwanaume wa wolper anaitwa Sadick, na sidhan Kama wolper anamjua vzr, ni mtu mtu anapenda sifa na kujifanya ana hela mtu muongo muongo. nimesoma naye shule ya msingi chazungwa na sekondari mpwapwa. Wala hatokei Denmark Kama anavyosema. Kwao ni mpwapwa mwanakianga. Kesho nikiamka salama ntakuja kumwelezea vizuri huyu jamaa. Sijui kwanini watu wanaopenda sifa na waongo waongo na matapeli wengi wao hufanikiwa kwa njia hizo hizo
Wewe ndio mbaya.Hivi ulinipotezea kale ka wine,,mbaya weweee
NimefanyajeWewe ndio mbaya.
Huyo Jamaa anaonekana kauzu zaidi ya dagaa hawezinguliwa.Huyu jamaa hatari sana kama Saibogi hahahahahahaha
Wajua sana.Nimefanyaje
Mauchoyo tuWajua sana.
Wewe ndio walonga hayo..Mauchoyo tu
Lkn shosti mbona hata harmonize sura ilikuwa ile ile?Dah hivi wolper ndio alikua akimchamba marehemu Ndikumana ana sura mbaya.....
Hii sura ya mchumba wake siiongelei namuachia Mungu.
Huyu binti hajui maisha hata kidogo. Halafu ni mtu asokuwa na bahat si ya pesa, bwana, wala heshima.Aliwahi kumsema Ndikumana ana sura mbaya...hii ya huyu bolo yang ni kama anaugulia maumivu
Ameshangilia mahari hajuagi huwaga wanakata kona hao!
Tatizo kila kitu anadolishia kama mshamba fulani.
kwakweli hana bahati....Lkn shosti mbona hata harmonize sura ilikuwa ile ile?
Nisame tu huyu Dada hanaga baharini ya mabwana. Tens Bora alivyo kuwa maswali kijitonyama Lutheran, labda iyo gundu ingemtoka. Lkn kwasasa kaamua kuwa mpagan ndio kabisaaa