Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,614
mimi mke wangu alikuwa na mimba ya mapacha. Akawa anaumwa shinikizo la damu. Ikawa lazima alazwe chumbe cha uangalizi maalum icu na mimba ya miezi saba. Nilijihisi makosa (guilt) nitauguzaje mtu icu kwa miezi mitatu wodini? Je akifa jamii itanionaje? Na sio kama sina mtoto nina watoto 5. Tukiwa na watoto 6 watatu wa kiume na watatu wa kike, tulikwishaamua kufunga kwa nja ya asil.bahati mbaya mmoja wa kiume akaugua malaria ya kapanda kichwani, akafariki.ndipo tukaamua kurudishia. Katika kutaka kurekebisha kosa juu ya maisha ya watu wawili, nikamuoma mke wangu bora tutoe. Mke wangu alikataa katakata. Nilimuomba daktari naye akakatataa katakata. Leo watoto hawa wapo najvunia kuwa nao. Nikirudisha mkanda numa najihisi vibaya kabisa.
pole ndugu .... Imenikumbusha mbali .... Mwanangu alided bila hata ya kuliona jua; mama yake alikaa hospitali pasipo kujitambua kwa zaidi ya mwezi ..... Alafu m2 aniambie kutoa mimba dhambi kwa wanandoa ....hakuna kitu kama hicho .... Ebu nije niwapeni full story