mume wa mtu

Hilo nalo neno
 
endelea naye kwani hakuna tatizo!!mwambie aifanye official na mkewe akufahamu!otherwise ukimpiga kibuti chuo hutamaliza na gari atakunyang'anya!!
 
sidhani km unauzoefu wowote, binti anasema ashanunuliwa gari na shule kapelekwa! umbu nambie hicho kitu ambacho huyo mwanaume ashapata! yawezekana mwanzoni alimficha ili asijekutolewa nje!
ndugu unelewa kiswahili vizuri au ubishi umekujaa -nimesema kwa udhoefu wangu inwezekana ni 1/121,836 ya member wa humu tu ya ukweli ina maana 121,835/121,836 ya member humu jf inawezekana ni uongo be brave mkuu
 
brilliant
wanaume wanaokula nje wanapenda sana support ya namna hii
ukishajali wanae na familia yake utapata kila utakacho kwa uwezo wake...

but I mean but.....jiangalie nafsi yako na dini yako

 
ndugu unelewa kiswahili vizuri au ubishi umekujaa -nimesema kwa udhoefu wangu inwezekana ni 1/121,836 ya member wa humu tu ya ukweli ina maana 121,835/121,836 ya member humu jf inawezekana ni uongo be brave mkuu

ukiona mwanaume amekuficha kuwa ana mke toka mwanzo akaja kukuambia bada ya muda fulani jua kwamba
1.alichokuwa anakitaka keshakipata then
2.amekuchoka anashindwa tu kusema bye from my experience


Kiswahili kigumu Nivea nisaidie, kifupi sijakuelewa.
 
Last edited by a moderator:
Nimependa kwenye bold....sijuhi wanaoolewa kwa style hiyo nao wakichitiwa wanalalamika au wanakula bati.

 
Hapa mwenye uzi yuko wapi? Nataka nimshauri in private
 
kwa mara ya kwanza tangu nikufahamu lara 1 comment yako imenimove. leo i agree with u 100%
 
Last edited by a moderator:
Unampenda jamaa au unapenda pesa zake? Asingekununulia hiyo gari cjui kama ungekuja kulialia hapa, tatizo la mabinti wa cku mnapenda sana pesa, go and spread ur legs kwa wanaume wengine ambao hawajaoa watakupa gari nyingine.
 
wewe bwana sema hako kagari kamekuzuzua umeona umefika huitaji kitu kingine,otherwise sioni kwa nini umeileta hii topic hapa,kama unaona kila kitu amekutimizia na huna haja nae muache subiri miezi sita tuone utasurvive vipi mtaani,FYI hawa masharobalo wanaokunyemelea humu na mtaani hata wese kwao ngumu,nachotaka kusema ukimwaga huyu baba ujue kuna consequences zake lazima ujihakikishie utazimudu na udogo wako....

wachunaji oyeee lol dhambi wanaziona kwako tu mdada hawaoni kuwa kuna kubwa jinga linaloamua kuacha kuendeleza familia yake na kugharamia kimada.
 
Huo uongo huwez kukaa miaka 4 na mtu ndipo ugundue kuwa kaoa!!! Ulikuwa unafahamu ameoa sema ulitaka hvyo vitu!! Enderea nae tu.....
 
Mwanaume Hawezi penda watu wawili.Anampenda mkewe anakutumia.Lini mtaelewa mwanaume halazimishwi kuoa anapenda ndio anaoa.Unapoteza Muda and get a life
 
Tel us about his family.

Kama anawatunza equally/better than you then awachukue nyote tu muwe wake zake. Hii mambo ya mke mmoja wazungu wametuharibia sana...sensa yenyewe inaonyesha tulivyo endangered species.
 
Angalia dini yako na yake kama zinaruhusu ndoa ya mke zaidi ya mmoja, ikiwa haziruhusu hasa dini yako jiulize kati ya Mungu na mume wa mtu nani kwanza?
 
Endelea tu kutumika kama kopo la KIWI...kutwa kung'arisha viatu wakati lenyewe jeusi tiii....mbaya zaidi likiisha matumizi latupwa kuleee.
 

Asante, lisa! umewakilisha mawazo yangu
 

Sawa kabisa....hata mimi nafanyiwaga hivyo hivyo na na enjoy sanaaaa.....sasa hivi nampigia kanyumba binju B. Ananisuuza sana huyu binti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…