Mume wa mtu nouma


calm down people...!!!!
 
Last edited by a moderator:
We binti acha tamaa, tulia na mchumba wako
 
Yaan ndugu zangu wanawake bhana,sijui wakati mwingine part ya ubongo kwa ajili ya reasoning huwa mnaazimisha....Yaan wamama nawakubali sana lakini linapokuja tu suala la mapenzi na mahusiano, basi nadhani akili zenu huwa zinasimama kwa muda halafu hiyo nafasi inachukuliwa na moyo.
Wewe bi dada, unafikiri vizuri kweli???Umeshasema ni mume wa mtu, halafu bado unahitaji kujua kama unapendwa, khaa!!!
 
wanawake akili zenu sometimes kama zimetiwa gundi....


Unajua kabisa ana mke halafu unauliza kama anakupenda?

Huwezi fikiria kuwa anataka K tu huyo?

Huwezi fikiri kuwa anatumia lugha tamu na laini, kama mwanume yoyote angetumia kukutongoza?

Una your childhood sweetheart, unatafuta nini? Hakuridhishi?
 
kuna watu unawapendelea kumbee!enh!yani of oll ae pipo wewe ni wa kutoa haya majibu kwa mineno mbofu mbofu ya aina hii!ah mtani !give me the watu8 i wud kill to miss in JF bana
 
Last edited by a moderator:
kuan watu nawaamini ujue kwenye mada za aina hii af mmeniangusha mbaya!
 
Achana nae jaribu ilo ndo unalipitia bkea ulishinde.
Huyo anataka akuonje akuache,af pia ni muongo,kigeugeu,katil na anakulegezea msimamo. Kuwa makini.
Mume wa mtu ohoo mtanasiana shaurilo!
 
Wewe hujiamini na hujitambui hilo ndo tatizo la nyie viumbe vya kike.thus y asikwambie m2 mwanaume akisha ngonoka uzur wako wote unakuwa umeishia kitandan pale .

wewe binti una tamaa tena hufai kuwa mke utaka ushauri gani wakati majibu unao utakuaje na mahusiano na mume wa mtu?tayari una mchumba kinachokuangaisha ni nini kama c roho ya umalaya acha tambia hiyo itakugarimu
 
We ushaambiwa utapewa kila kitu unachotaka hapa duniani. Unataka nini? unanyumba? gari? wazazi wako wamejenga?
Wadogo zako wote wako shule za st. au islamic?
Changanya na zakwako.
 
hakunaga mapenzi,kupendana ni zama za kale..yaanì unataka uwé kipozeo cha mume wa mtu! Kupanga nikuchagua.
 
kuna watu unawapendelea kumbee!enh!yani of oll ae pipo wewe ni wa kutoa haya majibu kwa mineno mbofu mbofu ya aina hii!ah mtani !give me the watu8 i wud kill to miss in JF bana

Mbona maneno yamenyooka mtani wangu, wapi kuna mushkeli kwani?
huyu dada yangu imebidi tu nimpe naked truth mtani...kwa nini muendelee kudanganywa jamani.
Hivi mtani kweli unaamini mtu ana mke wake aje tu akuambie anakupenda, nawe roho yako kwatuuu kabisa unaenda kuomba ushauri kujua kama kweli wapendeka...hii haipo sawa kabisa
 
Heheheehheeeee!! Jamani dunia ina mambo!!! Pole sana mamii ukifika miaka 30 hutapata shida ya kutatua matatizo kama haya.
 
Huyo ndio wa ukwel imng'ang'anie sana na wewe ukiwa na mchumba wako usiku mpigie simu uongee nae kama alivyoongea na wewe, hapo mapenzi yenu yataongezeka maradufu
 


We tayari una mchumba na mko katika mikakati ya kufunga ndoa, inawezekanaje akaja mtu mwingine akakwambia kuwa anakupenda na bado ukaamini? Na mbaya zaidi keshakwambia ni mume wa mtu? Yaani hata hili ambalo liko wazi hivi unataka ushauri? Wenzako wamenasana jana, subiri na wewe sasa yakukute ndo utajua kuwa mume wa mtu ni noooma!
 
....mimi naona anakupenda sana tu, alikuwa anampotezea maza hausi........ kama vipi mpigie tena umuulize.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…