Mume wa mtu ananitesa


Nimeolewa nikiwa na miaka 22
Tumepishana na Mr, miaka8
Sijwah kuishi na mwanaume tofauti na Mr,
Uchumba wetu umedumu mwaka mmoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maisha ni mafupi mdada,achana na mumeo,olewa na huyo kipenzi chako,lakini kabla haujafanya hivyo,fikiria ni watu wangapi mtavuluga maisha yao kwa uamuzi wenu,mumeo,watoto wako,mke na watoto wa kipenzi chako wa muheza,ndugu na jamaa wa pande zote mbili,
Kama mumeo umemchoka bora uende tu kwa mpenzio wa muheza,kuriko kuishi nae kinafiki huku Mali zake unazitumia na huyo mpenzio wa muheza,
Ni maisha yako,ila watu kama nyinyi ndio mnasababisha watu wanauana,ningekujua,wewe ni shaba tu,maana umeonesha ubinafsi sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo swala ni mo moja wewe toa nunu hiyo kwa chalii ya muheza sio unaleta mboyoyo nyiingi
 
Wanawake ni mafala sana, kwahiyo anakupenda sana sababu ya kuchat tu nawewe wakati wa shida zake? Yani ningekujua ningemwwambia mumeo kwa huu ufala unaosema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anahofu ya mungu harafu alimuomba jamaa wachepuke mara moja tu harafu basi. Aseme tu yeye anataka kutoa mbunye Mungu asimuingize humo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unachokifanya wewe ni utoto,hujielewi! Kuna muda wa kusema sasa basiii,nina familia yangu na ndio maisha yangu mambo ya kipumbavu siyataki.Hakuna urafiki wa mwanaume na mwanamke usiokuwa na madhara.Kwa afya ya watoto wako,mume wako na maisha yako tuliza hizo nyeg zinazokusumbua
 
Tatizo mleta mada anafikiri maisha ya ndoa ni kuingiza na kutoa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…