Nyie watu on a serious note lakini, is there a problem kutoa namba ya simu?? i mean its only a phone number and you never know iko siku unaweza kuhitaji msaada wa huyo mtu. Hatuishi dunia ya peke yetu ya kutokusaidiana.
Au yeye akahitaji kitu kutoka kwako.........
Nadhani yeye kaanza ana shida ya hiyo kitu............hakuna ubaya hapo:target:!
Hapo sasa............Alaaaa yeye JS alikuwa anategemea nini alipompa jamaa namba yake? Kwamba jamaa ataenda kuitundika ukutani hiyo namba kama pambo? Mademu bana...mtu unampa namba yako halafu akikupigia unalalamika...what the ***?
Nyie watu on a serious note lakini, is there a problem kutoa namba ya simu?? i mean its only a phone number and you never know iko siku unaweza kuhitaji msaada wa huyo mtu. Hatuishi dunia ya peke yetu ya kutokusaidiana.
Mie sioni unbaya wa kumpa mtu namba ya simu, kwani kama sitaki uhusiano naye sinaacha kupokea tu. Kuna mazingira mengine mtu anakuomba namba ya simu kumnyima pia unaonekanaje sijui, basi nitakupa lakini sio kwamba eti nikikupa namba ya simu ndio umenipata. Wanaume wao wanafikiri ukimpa namba yako basi uko available, mnajidanganya.
JS mwache apige wee mpaka atakaa tamaa. text msg zake usijibu.
:a s 20:hivi nyie kina dada/mama mnadhani tukishaoa ndio tunakuwa vipofu na hisia zetu za mapenzi zinakwisha kabsaaa zinabakia kwa wake zetu tuu?...
big noooo...hata nyie mkiolewa bado hisia za mapenzi juu ya hao wengine zinakuwapo sana na sio kwa mmeo tuu...sasa basi naomba ieleweke hivi...
ukiwa approached na mtu aliyeoa/olewa muelewe kama ambavyo uli-approach-iwa na mme/mkeo na ikiwezekana muwekeane mipaka ili mpeane kwa nafasi...
ushauri...mpe mwenzio hilo goma ahangaike nalooooo...ila u-siri ni kitu muhimu sana katika mahusiano ya kuibia kama hayo.
Correction hapo kwenye red sema wewe. usiusemee moyo ati.inawezekana huyo mpenzi wa JS,ndio hana future naye...
mpaka kufikia kutoa namba yake,ni kwamba dada JS hafeel secured kwenye r'ship yake,,,
sie wanawake tunayo sana hio...kama mtu hana muelekeo unakaa mguu mmoja ndani mguu mmoja nje...!:target:
nahisi yuko likizo,mpaka arudi...nyumba za watu nyingi zitakuwa zimebomolewa..:rolleyez:.!
wapiiii da sophy???LOL
Wewe ndio ulidhani its only a phone number lakini kwake it meant a lot! si wewe tu unaweza hitaji msaada siku moja , hata yeye anaweza hitaji msaada kwako na ndio maana anakupigia maana anahitaji msaada, kwa kuwa unaelewa hilo la kusaidiana we msaidie tu, kumbuka " kumnyima mtu kitu wakati unacho ni sambi, we si umpe tu na kama ni sambi si sake!
na anayeendessha hilo tinga tinga ni wewe namba moja eeh...mi nyumba yangu naamini imejengwa juu ya mwamba ijapokuwa sijisifu yasije kuwa ya wifi yake Mrs wangu Nyamayao...
Binamu mambo mzima
aah!
jeiesi...........
SIKUTEGEMEA AISEE
Jamani wadau naombeni msaada kuna mume wa mtu kaniganda kweli kweli. Tulikutana mtaani kwenye starehe hizi tukawa tunapiga stori na mambo kama hayo mwishowe tukabadilishana namba za simu.
Sasa kila kukicha ni simu ni text messages. ananitaka kimapenzi. nishamuambia sina hisia kwake na kwamba nina mpenzi wangu tayari na there cant be anything between us. haelewi kabisa kagoma kuelewa.
Nimfanyeje mtu wa aina hii na tamaa zake za mwili??
JS usijaribu tena maishani kumpa mwanamme namba kwa misingi ya ati hata abuse sijui kitu gani.
ukimpa mtu namba maana yake ni piga ueleze shida yako...........ukimpa mtu namba means i will love to talk to you again and if we can come to an agreement we can even meet.
kaizer huyu tatizo hawezi kulitatua zaidi ya kulikimbia tu sasa..............akiendelea kupokea simu zake na kumwambia hataki msg inayojipeleka automatic ni 'i am playing hard to get' tu
Nyie watu on a serious note lakini, is there a problem kutoa namba ya simu?? i mean its only a phone number and you never know iko siku unaweza kuhitaji msaada wa huyo mtu. Hatuishi dunia ya peke yetu ya kutokusaidiana.
Jamani wadau naombeni msaada kuna mume wa mtu kaniganda kweli kweli. Tulikutana mtaani kwenye starehe hizi tukawa tunapiga stori na mambo kama hayo mwishowe tukabadilishana namba za simu.
Sasa kila kukicha ni simu ni text messages. ananitaka kimapenzi. nishamuambia sina hisia kwake na kwamba nina mpenzi wangu tayari na there cant be anything between us. haelewi kabisa kagoma kuelewa.
Nimfanyeje mtu wa aina hii na tamaa zake za mwili??
Ukishikwa shikamana shosty