Mume wa kiislam anahitajika

Mume wa kiislam anahitajika

Peleka hili tangazo kwenye shura ya maimamu na uwe tayari kuwa mke nne, na nasikia waislamu hawaruhusiwi kutumia Internet sasa wewe ni mwislamu wa Dubai?

kumbe unasikia tu, uliza waislamu tukueleze
 
Muda mwingine tunazawadiwa waliopotea njia ili tuwe sababu ya wao kurudi katika Iman.
 
Peleka hili tangazo kwenye shura ya maimamu na uwe tayari kuwa mke nne, na nasikia waislamu hawaruhusiwi kutumia Internet sasa wewe ni mwislamu wa Dubai?

Teh teh vipi mkeo kakutumia hela ya chakula au bado? Cc Matola featuring [MENTION=133642] lusungo and Ritz
 
Last edited by a moderator:
Mwanaume wa kiislam mwenye umri kuanzia miaka 30 na kuendelea, anaejua dini na maana ya Uislam, mwenye kufuata misingi ya dini ya kiislam anahitajika hapa, nina miaka 28 ila sina mume kwani sijapata kila anaenifata hana sifa tajwa hapo juu .

Pm kwa namba, Inshallah tutaongea!
 
Ni wachache sana wanaume waislam mwenye kufuata misingi ya dini haswa kukaa mpaka miaka 30 hawajaoa, kwani kuoa mapema ni sunnaa..mtu mwenye miaka zaid ya 30 then hajaoa kuna uwezekano anazini, sasa kama anazini(kufanya mapenz bila ndoa) hapo kuna misingi ya dini dada yangu..hvo bado utakuwa na kazi ngumu kumpata huyo mwanaume labda uwe mke mwenza. Punguza vigezo watu wakamate fursa.

Ni kweli kbs
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom