Deshmo
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 4,806
- 4,253
Nashindwa hata kujibu swali gumu. Kwani ina maana hakuna walio na umri zaidi yangu hawajaolewa? mbona wapo wengi tu ni muda tu mungu akikupa anakupa huna haja ya kulazimisha.
Wasikukatishe tamaa kula kulala, nipo tayari kama upo tayari kubadili dini