Isumbwile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2012
- 801
- 362
Habari zenu WanaMMU,
"Perfection is not attainable, but if u chase for perfection, you can catch excellence", those aren't my words but the words of Vince Lombardi.
Hapa Vince alijaribu kuelezea kwamba ukamilifu hauwezi kufikiwa ila kama utajaribu kuutafuta unaweza kuambulia ubora. Siku zote huwa tunajitahidi kupata kile kilicho bora katika maisha na hivyo ndo tulivyo binadamu wengi. Tunaishi katika mazingira mbalimbali na mara nyingi mambo yanatofautiana sana.
Leo tujaribu kuongelea kuhusu mwenza bora hapa nikimaanisha zaidi mke bora au mume bora. From my
Perspective hivi ni baadhi ya vitu ambavyo vinamfanya mwenza kuwa bora;
1. Listens to his/her partner and does best to please him/her.
2. Always considers his/her partner's well-being.
3. Doesn't give his/her partner stress but peace of mind.
4. Doesn't spend more than what his/her partner earns.
5. Helps his/her partner at the times of problems.
6. Has patience & calm when his/her partner doesn't treat him/her justly.
7. Behaves and dresses smartly & modestly.
8. Learns and practices religion and teaches his/her partner too.
9. Does his/her best to rise their children in religious way
10. Always supports his/her partner in a good way.
Hayo ni yangu machache, vp kuhusu wewe; Kwa wadada- married or single, ni kipi unadhani kinakufanya uwe mke bora au kitakufanya uwe mwenza bora siku za mbeleni.
Pia sio mbaya kama ukaweka baadhi ya vitu ambavyo vinamfanya mwenza wako kuwa bora. To my fellow men; married or bachelors, kitu gani kinamfanya mkeo au mwenza mtarajiwa kuwa bora?
Karibuni tubadilishana mawazo
"Perfection is not attainable, but if u chase for perfection, you can catch excellence", those aren't my words but the words of Vince Lombardi.
Hapa Vince alijaribu kuelezea kwamba ukamilifu hauwezi kufikiwa ila kama utajaribu kuutafuta unaweza kuambulia ubora. Siku zote huwa tunajitahidi kupata kile kilicho bora katika maisha na hivyo ndo tulivyo binadamu wengi. Tunaishi katika mazingira mbalimbali na mara nyingi mambo yanatofautiana sana.
Leo tujaribu kuongelea kuhusu mwenza bora hapa nikimaanisha zaidi mke bora au mume bora. From my
Perspective hivi ni baadhi ya vitu ambavyo vinamfanya mwenza kuwa bora;
1. Listens to his/her partner and does best to please him/her.
2. Always considers his/her partner's well-being.
3. Doesn't give his/her partner stress but peace of mind.
4. Doesn't spend more than what his/her partner earns.
5. Helps his/her partner at the times of problems.
6. Has patience & calm when his/her partner doesn't treat him/her justly.
7. Behaves and dresses smartly & modestly.
8. Learns and practices religion and teaches his/her partner too.
9. Does his/her best to rise their children in religious way
10. Always supports his/her partner in a good way.
Hayo ni yangu machache, vp kuhusu wewe; Kwa wadada- married or single, ni kipi unadhani kinakufanya uwe mke bora au kitakufanya uwe mwenza bora siku za mbeleni.
Pia sio mbaya kama ukaweka baadhi ya vitu ambavyo vinamfanya mwenza wako kuwa bora. To my fellow men; married or bachelors, kitu gani kinamfanya mkeo au mwenza mtarajiwa kuwa bora?
Karibuni tubadilishana mawazo