Mume mchumba anatafutwa

Joined
Aug 24, 2026
Posts
27
Reaction score
36
Jamani, mimi natafuta mchumba wa muda mfupi tukijuana awe mume kabisa sifa ni kama ifuatavyo
1. Umri - kuanzia 36-45
2. Kabila - lolote
3. Dini - Mkristu
4. Mkoa - Dar,Dom, Moro au popote ila afikike ki urahisi
5. Watoto - hata akiwa nao wasizidi wawili
6. Kazi- yoyote ila awe na kipato kinachoeleweka
7. Elimu - kuanzia Diploma hadi Professor nakaribisha

Sifa zangu
Umri - 36
Kazi - Biashara
Dini - Mkristu
Mtoto - Mmoja
Naishi - Dodoma

Aliye serious na maisha anicheki tusonge mbele. nipo serious.
Karibu
 
Tatizo kubwa la mabinti ni kuangalia leo badala ya siku za usoni. Binti ukiruhusu tumbo lako likalea kiumbe mpaka ukakileta duniani kabla ya ndoa, kubaliana na usemi kuwa ndoa ni majaliwa.
 
Kwanini baba wa huyo mtoto asikuoe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…