Mume kufariki baada ya mke kumuacha

Mume kufariki baada ya mke kumuacha

mwangahikaji

Member
Joined
May 14, 2013
Posts
98
Reaction score
35
Kiukweli napenda kusema mapenzi yana fanya mtu kupoteza uhai wake maana baada ya mama yangu kumuacha baba yangu ndipo baba kufariki na presha na kujikuta sina la kufanya na sina pa kwenda mpaka sasa maana mume wa mama yangu wasasa hanihitaji mimi sijui nifanyeje naombeni ushauri wenu ukicheki bado napenda kusoma lakini hata ndugu zangu kwa upande wa baba si wajui na mama ndo kapenda hasikii wala haambiwi juu ya mwanaume wake huyo...
 
nimejaribu kuongea nae lakini cha jabu kila ninacho mwambia anamueleza mume wake
 
Kiukweli napenda kusema mapenzi yana fanya mtu kupoteza uhai wake maana baada ya mama yangu kumuacha baba yangu ndipo baba kufariki na presha na kujikuta sina la kufanya na sina pakwenda mpaka sasa maana mume wa mama yangu wasasa hani hitaji mimi sijui nifanyeje naombeni ushauri wenu ukicheki bado na penda kusoma lakini hata ndugu zangu kwa upande wa baba si wajui na mama ndokapenda hasikii wala ambiwi juu ya mwanaume wake huyo...
Pole sana mwangahikaji.Yapo mengi hujaweka wazi.Kisa cha mama kumwacha baba ni nini? Baba alijenga nyumba ya familia? Kwenye mirathi wewe unazo haki gani? Mama kaolewa kisharia ama anaishi tu na huyo baba mpya? Hebu jieleze zaidi.
 
Last edited by a moderator:
Baba yangu alikuwa ana mpenda sana mama na kufikia hatua ya kumwandika jina lake kwenye mali zao zote walizo chuma hapo awali kabla hata mimi sija zaliwa ndiyo maana hata alivyo kufa ilikuwa ni kama wiki moja mama kumkimbia baba na ndipo umauti ukamkuta baba kiukweli nilishindwa hata kuongea na baba yangu lolote kutokana na uchungu alio kuwa nao nilijaribu kumueleza tufanyejee akawa ni mtu wakulia tu nakushindwa kunijibu lolote mpaka kufa kwake hajawa muwazi kwangu kiukweli ina uma sana.
 
mama yako hana sense of humour kabisa,mtu kafa sababu yake and she cares nothing at all
we uasoma nini@mwangaikaji,

ingawa pia una stress tafadhali jitahidi katika haya maneno kutofautisha A na HA
hawali-awali
halio-alio
umeeleweka lakini its for the future use
 
asante kwakuni rekebisha mimi kwasasa na jifunza compture maana nime maliza four 4
 
nina miaka 23 hadi sasa

nilianza kujitegemea at that age...I never cried to anyone...wazazi wangu wakiwa zaidi ya 1300km na sikuwahi kuwaambia kuwa mambo ni magumu mno....Jitie nguvu, mama alishajichagulia njia yake, nawe tafuta yako. Wanaume wachache sana wanaweza kumkubali mwana mwenye umri kama wako. Hata wewe huwezi. umeshakuwa baba, stop crying and fight your way...though it is hard na inakatisha tamaa...dunia iliumbwa ili tupambane na matatizo
 
hilo ni pigo zito ila ulivyo andika kama mzaha vile. Cha msingi hata mali zikiandikwa kwa jina lake wewe kama mtoto wake kuna haki zako kisheria,iwe ni yeye alietafuta au baba yako(may his soul rest in peace). Nenda uwaone hao watu wa sheria au useme uko mkoa gani kisha wadau humuhumu watakuelekeza ofisi za wanasheria zilipo. Usiache kuipigania haki yako kisa baba hayupo hasa baada ya kifo kibaya cha baba.
 
baba yako alifariki lini??? Maana story yako inaonesha kafariki mda sio mrefu lakini unalalamika mambo yamiaka mingi iliyopita huko?? Miaka 23 inatosha kujitegemea unataka usome nini sasa??
 
Baba yangu alikuwa ana mpenda sana mama na kufikia hatua ya kumwandika jina lake kwenye mali zao zote walizo chuma hapo awali kabla hata mimi sija zaliwa ndiyo maana hata alivyo kufa ilikuwa ni kama wiki moja mama kumkimbia baba na ndipo umauti ukamkuta baba kiukweli nilishindwa hata kuongea na baba yangu lolote kutokana na uchungu alio kuwa nao nilijaribu kumueleza tufanyejee akawa ni mtu wakulia tu nakushindwa kunijibu lolote mpaka kufa kwake hajawa muwazi kwangu kiukweli ina uma sana.

Aisee unaongea kwa huruma ile mbaya, ushakuwa mkubwa wa kujitegemea kabisa, kubaki unalilia mali za mama yako sio inshu kabisa huyo ni mama yako na itabaki kuwa hivyo milele, pambana kivyako na jifunze kutokana na makosa ya mshua wako usije kurudia makosa yafuatayo:

1. Usiandike mali zote jina la mwanamke
2. usiwe mtu wa kulia lia
2. Uwe na kiasi kwa kila jambo (hata kupenda) usije na wewe ukaaga mapambano mapema kama mshua

Note: Hata wewe utaachwa sana tu hayo ndo maisha yetu, Jipange dogo. Pia kumbuka hakuna mtu anaitwa 'MUME WA MAMA YANGU' sema BABA MDOGO au BABA WA KUFIKIA hata kama humpendi.

Mwisho: Pole kwa kumpoteza MUME WA MAMA YAKO.
 
Mkuu umetiririka sana hapa
Aisee unaongea kwa huruma ile mbaya, ushakuwa mkubwa wa kujitegemea kabisa, kubaki unalilia mali za mama yako sio inshu kabisa huyo ni mama yako na itabaki kuwa hivyo milele, pambana kivyako na jifunze kutokana na makosa ya mshua wako usije kurudia makosa yafuatayo:

1. Usiandike mali zote jina la mwanamke
2. usiwe mtu wa kulia lia
2. Uwe na kiasi kwa kila jambo (hata kupenda) usije na wewe ukaaga mapambano mapema kama mshua

Note: Hata wewe utaachwa sana tu hayo ndo maisha yetu, Jipange dogo. Pia kumbuka hakuna mtu anaitwa 'MUME WA MAMA YANGU' sema BABA MDOGO au BABA WA KUFIKIA hata kama humpendi.

Mwisho: Pole kwa kumpoteza MUME WA MAMA YAKO.
 
nimwaka mmoja sasa]pole mdogo wangu! ni mda gani tangu kifo cha baba?[/QUOTE]
 
Back
Top Bottom