Mume HIV+ anahitajika

Nina miaka 27,muislam, elimu yangu ni kidato cha sita, nimeajiriwa, ninaemuhitaji kwanza awe na hali kama yangu, umri usizidi miaka 35,awe muislam anayejiheshimu na aliye serious kwa ajili ya ndoa.
Usiweke limitation, nimeona documentally huko Kenya kuna jamaa NEGATIVE kaamua kuoa mwenye HIV kwa hiyari yake na sasa wana watoto kwa msaada wa madaktari.Inawezekana na huku Tz wapo wenye roho ngumu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom