- Thread starter
- #41
AsanteMay Allah be with you young lady.
AsanteMay Allah be with you young lady.
AmiinaUtampata dada uwe na subira tu. Kila la kheri na umpate mwenye mapenzi mema
Sent using Jamii Forums mobile app
Amenkila la kherii
Sent from my SM-G532F using Tapatalk
Hahahaaaa!Wee, watasogea kwani??
Nahisi utapeli hapa! Yajayo hayafurahishiKama utahitaji tiba, njoo PM
😂😂😂😂😂
Duh makubwa.
Usiweke limitation, nimeona documentally huko Kenya kuna jamaa NEGATIVE kaamua kuoa mwenye HIV kwa hiyari yake na sasa wana watoto kwa msaada wa madaktari.Inawezekana na huku Tz wapo wenye roho ngumu.Nina miaka 27,muislam, elimu yangu ni kidato cha sita, nimeajiriwa, ninaemuhitaji kwanza awe na hali kama yangu, umri usizidi miaka 35,awe muislam anayejiheshimu na aliye serious kwa ajili ya ndoa.
Yeah