Ibinabdillah
Member
- Jun 27, 2020
- 13
- 4
Mm sina je naweza kukuoa hivyohivyo
Mm sina je naweza kukuoa hivyohivyo
Haiwezekani aisee.Jamani jamani vp naomba nijibu bc
Basi tuuKwann haiwezekani sasa?
Ushapata??Nina miaka 27,muislam, elimu yangu ni kidato cha sita, nimeajiriwa, ninaemuhitaji kwanza awe na hali kama yangu, umri usizidi miaka 35,awe muislam anayejiheshimu na aliye serious kwa ajili ya ndoa.
NB: Kigezo cha dini jamani ni muhimu.
BadooUshapata??
Aisee fursa nyingine mtihani kweli
Njoo pm tuyajengeUshapata??