obuntu2016
New Member
- Oct 31, 2016
- 4
- 1
Awe muislamu, awe na hofu ya mungu. mengine yote tukutane PM
barikiwaTulia uandike vizuri ueleweke, siyo kusema Muislamu, awe na hofu ya mungu mengine pm.
1,UMRI WAKO?
2,ELIMU YAKO?
3,UNAEMTAKA AWE NA UMRI NGAN?
"UMETOKA USINGIZIN NN?
Awe muislamu, awe na hofu ya mungu. mengine yote tukutane PM
duuuh wewe jamaa yangu hapa ni hatari aisee.... Hartiti at workuna umri gani,elimu kiasi gani unafanya kazi gani na detail nyingine majibu ya maswali yangu nataka nithaminishe nikiridhika nijitoe muhanga
Hivyo kavijulie huko PMuna umri gani,elimu kiasi gani unafanya kazi gani na detail nyingine majibu ya maswali yangu nataka nithaminishe nikiridhika nijitoe muhanga
details mbwembwe tu hata nikisema nina phd haitanifanya kuwa mke bora, najiamini ni mrembo na sifa ya kuwa mke ninayo. Na nimtakae akiwa na hofu ya mungu inatoshaduuuuhh hatari kwel yaani haya matangazo wanavotoa kwahyo wewe details zako ziko wapi
Jaujaeleza kisa cha kutafuta muathirika wa ukimwi.details mbwembwe tu hata nikisema nina phd haitanifanya kuwa mke bora, najiamini ni mrembo na sifa ya kuwa mke ninayo. Na nimtakae akiwa na hofu ya mungu inatosha
Hongera wameona umecommentJaujaeleza kisa cha kutafuta muathirika wa ukimwi.
Huo ni unyanyapaa wa kiwango cha changarawe.
Nenda kwenye kliniki za CTC utakuta watu wengi wanaopata ushauri nasaha ukatege. Shirikiana na mganga kuchambua majina ya kiislam, halafu jilengeshe.
MI NAFAA KABISA BABYdetails mbwembwe tu hata nikisema nina phd haitanifanya kuwa mke bora, najiamini ni mrembo na sifa ya kuwa mke ninayo. Na nimtakae akiwa na hofu ya mungu inatosha