Ahsante sana!awe mkweli, na awe serious. anayetaka mke ani pm namba yake tutawasiliana. kwa maswali yote tutawasiliana
So ukiwa verified usser??? Then..Mkuu ni pm mimi. Mimi ni verified user kabisa sina longolingo.
EM vip 3000000 umempa hajakuoa tuuawe mkweli, na awe serious. anayetaka mke ani pm namba yake tutawasiliana. kwa maswali yote tutawasiliana
Wewe mwenyewe haupo serious. Huyo mume serious utamtoa wapi? Labda wa kuchonga.awe mkweli, na awe serious. anayetaka mke ani pm namba yake tutawasiliana. kwa maswali yote tutawasiliana
Mkuu unaharibu madili bhana...kila MTU anajinadi kwa staili yake.So ukiwa verified usser??? Then..
Haha we chalii yaani kua verified user umeiona ndio kitu cha msingi sana,watu wapo verified na wanatapeli watu humuMkuu ni pm mimi. Mimi ni verified user kabisa sina longolingo.
awe mkweli, na awe serious. anayetaka mke ani pm namba yake tutawasiliana. kwa maswali yote tutawasiliana
Kwa ushauri dada ongeza nyama uzi wako.awe mkweli, na awe serious. anayetaka mke ani pm namba yake tutawasiliana. kwa maswali yote tutawasiliana
kila mtu ana ilani yake ya uchaguzi. Acha wivu mzee.Haha we chalii yaani kua verified user umeiona ndio kitu cha msingi sana,watu wapo verified na wanatapeli watu humu
awe mkweli, na awe serious. anayetaka mke ani pm namba yake tutawasiliana. kwa maswali yote tutawasiliana
Teh tehkila mtu ana ilani yake ya uchaguzi. Acha wivu mzee.

"...longolingo" unavyo twist maneno tu unaonekana mpigaji tuMkuu ni pm mimi. Mimi ni verified user kabisa sina longolingo.

Aaaah....mnataka kunitoroshea tu ndege wangu....."...longolingo" unavyo twist maneno tu unaonekana mpigaji tu![]()
![]()
![]()