mume anaitajika

mume anaitajika

awe mkweli, na awe serious. anayetaka mke ani pm namba yake tutawasiliana. kwa maswali yote tutawasiliana

Acha mbwembwe, usidhani wanaume ni bei chee kiasi hicho, ingekuwa hivyo mnetunyasasa saana, unachotakiwa kufanya weka details zako hapa, mfano unajishughulisha na nini, kipato chako kikoje, unamiliki nini? Shamba, nyumba, gari, kama ni gari aina gani?, kama ni nyumba iko maeneo gani?
Note: lazima uwe na kitu cha ziada ili ufatwe PM labda uwe unataka kugegedwa tu
 
Wewe ke au me umetumwa !?
Acha mbwembwe, usidhani wanaume ni bei chee kiasi hicho, ingekuwa hivyo mnetunyasasa saana, unachotakiwa kufanya weka details zako hapa, mfano unajishughulisha na nini, kipato chako kikoje, unamiliki nini? Shamba, nyumba, gari, kama ni gari aina gani?, kama ni nyumba iko maeneo gani?
Note: lazima uwe na kitu cha ziada ili ufatwe PM labda uwe unataka kugegedwa tu
mshukuru Mungu kwa yote aliyokupa ata ukamilifu ulio nao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom