DarkPower
Member
- Feb 17, 2012
- 16
- 5
Jamaa mmoja mkewe amefariki,wakati watu wamebeba maiti wanakwenda kuzika,Mumewe alionekana mwenye furaha na kucheka,watu wakamuuliza kwanini huna huzuni ambapo aliefariki ni mkeo?,Mume akawajibu akiwa na furaha kwamba ni leo tu ndio anajuwa mkewe anakwenda wapi!!! kwasababu kila siku anatoka wala sijui anakokwenda hahahahahah