PreGE2025 Muliro: Walichosema Mwangi na Atuhaire ni maoni yao

PreGE2025 Muliro: Walichosema Mwangi na Atuhaire ni maoni yao

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Parabolic

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2013
Posts
2,743
Reaction score
2,601
Kamanda wa Polisi Kanda maalum ya Dar es salaam Jumanne Muliro amejibu madai ya wanaharakati wawili kutoka Uganda, Agather Atuhaire (Uganda na Boniface Mwangi (Kenya) kuwa waliteswa walipokuwa Tanzania, akisema hayo ni maoni yao na kama wana malalamiko waende kushitaki kwenye mamlaka husika.

Ameyasema hayo alipohojiwa na Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC).

Soma pia: Mwanaharakati wa haki za Binadamu Agather Atuhaire, apatikana

Mwangi na Atuhaire walikuwa miongoni mwa wanaharakati waliokwenda Dar es Salaam kuhudhuria kutajwa kwa kesi ya uhaini inayomkabili mwenyekiti wa chama cha upinzani nchini Tanzania CHADEMA Tundu Lissu.

 
Ukisikiliza ni kama anajikanyaga sana kujibu, halafu cha kuchekesha anasema eti hayo ni maoni yao, hivi Agatha na Boniphace walikuwa wanatoa maoni gani kwenye ile press?

Wale walikuwa wakitoa taarifa ya nini kiliwasibu baada ya kukamatwa... hivi huyo mzee anaelewa hata maana ya maoni kweli?
 
Sidhani kama wanatoa maoni hao jamaa wa Kenya na Uganda, wanatoa taarifa ya kile kilichowakuta Tanzania walipokamatwa na vyombo vya dola.

Hata kama yangekua maoni, kwani Muliro alitaka watoe maoni ya jeshi la polisi au ya kwake yaye Muliro? Si bado yangekua maoni yao hao kina Boniface? Muliro vp kamanda, umechanganyikiwa nn!
 
Kamanda wa Polisi Kanda maalum ya Dar es salaam Jumanne Muliro amejibu madai ya wanaharakati wawili kutoka Uganda, Agather Atuhaire (Uganda na Boniface Mwangi (Kenya) kuwa waliteswa walipokuwa Tanzania, akisema hayo ni maoni yao na kama wana malalamiko waende kushitaki kwenye mamlaka husika.

Ameyasema hayo alipohojiwa na Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC).

Soma pia: Mwanaharakati wa haki za Binadamu Agather Atuhaire, apatikana

Mwangi na Atuhaire walikuwa miongoni mwa wanaharakati waliokwenda Dar es Salaam kuhudhuria kutajwa kwa kesi ya uhaini inayomkabili mwenyekiti wa chama cha upinzani nchini Tanzania CHADEMA Tundu Lissu.

ICC inakungoja vizuri sana Muliro! Uchawi haufui dafu kipindi hiki!
 
Nakutajiaaa .....IGP.....DCI.....RPC ZCO RPC KANDA MAALUM.....MULIRO HAO WOTE WA3NDE ICC...
 
Policcm na mama yao ccm, ni laana kwa nchi yetu.
 
Muliro aache kuongeaongea, ataangushiwa jumba bovu.

Tena awe na akiba, huu mwaka mgumu sana. Mpaka kufikia October anaweza kujikuta anawapigia saluti watu ambao hajawahi kudhani watafika huko.
Muliro anaamini amesha kuwa rais wa tanzania maana anaongea sana utadhani mama chausiku
 
Back
Top Bottom