TEMILUGODA
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,389
- 285
Kama kunakosa kubwa la chadema la kupoteza wanachama lushoto ni hili la mh.ZITO kutofika wilayani hapo.KWA NINI? 1.mwaka 2010 mgombea urais ndg WPS ALISHINDWA KUFIKA HUKU AKISUBIRIWA ZAIDI YA SAA 8 2.wananchi na wanazi wa chadema huzomewa sana kutokana na uongozi wa chadema kutofika kwa ahadi. JE UNAFIKIRI KWA HAYA MAWILI ENDAPO CDM ITAKOSA IMANI KWA UMMA WA KURA ZAIDI 250,000 YA LUSHOTO NANI ALAUMIWE? Je sauti ya umma haisikilizwi? KAZI KWENU VIONGOZI.