SILENT ACtOR
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 627
- 181
Mkama amedai lazima ataongoza jukumu la kuwaondoa mafisadi wanaotuhumiwa na chama chake, japo anasema mafisadi hao ni lafiki zake wa karibu! Eti watazuia matajiri kujipenyeza tena ktk chama. Amewabeza wanaosema anawaogopa mafisadi kwa kumaka"not me, never!". Lakini amekiri kubebeshwa mzigo mzito! Hapa alikuwa akiongea na magamba wadogo chuo kikuu Mzumbe.
ource: TBC
jee, ataweza?
Mnataka kunipa barua ya nini? Kwani wewe hujui nini kuhusu Richmond?
Lowasa akimchimba mkwara Kikwete!
ource: TBC
jee, ataweza?
Mnataka kunipa barua ya nini? Kwani wewe hujui nini kuhusu Richmond?
Lowasa akimchimba mkwara Kikwete!