Mukama aibuka, aishambulia CHADEMA!

Mukama kwa nini hamkufanyia mkutano VIJANA SOCIAL HALL kinondoni?ni wazi pameshakufa chini ya uvccm
 
watu kama Mukama wanatakiwa wawe eliminated kwenye gene pool ya watanzania asije mtu mwingine akarithi gene za mtu kama mukama!!
 
ni dhahiri ccm imepata ugonjwa wa sonona baada ya kuona kila dalili ya kupoteza uongozi wa nchi hii.mbaya zaidi mbinu za kujinasua katika janga hili zimewaishia na sasa wanabaki kuropoka na kutoa vitisho.times up ! ccm kwaheri!
 
Yeye ni wa kiwango kipi hapo? Maana hawa jamaa kwa vile wana access na media basi hata njozi zao huwa wanaziweka mle.

Je amepikika? - ki-CCM YES. Hafai popote ile CCM tu.
Je anayo maadili ya uongozi - kauli na matendo vinathibitisha hana
Je Mukama ana tija yoyote ktk maendeleo chanya ya Tanzania - HAPANA.

Hivyo ni wa kupuuza tu
 
Angemjibu kwanza makamba alisema cc timu mbovu.
 
Zee lina mawazo mgando kweli wenye baba huyu mwiteni mwambieni "baba unatokota kaa kimya" maurities waliwahi kuongozwa na dj kwa sababu chama tawala kilichokwa nguvu ya umma ikabadili utawala
 

Ndio maadili mnayofundishana ndani ya CCM na products zenu ni Nape, Job Lusinde na Tambwe Hizza just to mention a few ambao wameiva vya kutosha. Hongera mkufunzi Mkama.
 
siku zote ukishaishiwa unakuwa mlopokaji tu, ni sawa na baba wa familia aliyefurilia uwa mlopokaji tu, mtoto akifanya hata kosa dogo ni kipigo au utapata maneno ya ajabu, wakati zamani aikuwa hivyo.
 
Angalizo lake lina sura mbili.
La kwanza ni kweli cdm hawajaweza kujipanga nchi nzima kuweka wagombea kuanzia serikali za mitaa na vitongoji, udiwani na wabunge. Labda tatizo ni mtaji mdogo walio nao maana ni lazima uwe na uwezo wa kutoa semina kwa wanachama kila sehemu na pili uwawezeshe kwa namna moja au nyingine kugombea.
La pili huyu katibu mkuu amegutuka usingizini labda baada ya kuonja moja mbili baridi kwani twaambiwa walipandisha bei ya mafuta ili wapate hela ya uchaguzi wa chama. Watanzania wote tumechangia uchaguzi wa wenye nchi bila kujua hayo ndio tanaambiwa ni maadili? Wametumia rungu kama chama tawala kujiokoa.
Cdm wajitahidi kwa hali na mali kupata wagombea kila ngazi nchi nzima na kura watapata kwani wananchi sasa wanataka mabadiliko.
 
Kama CCM ndicho hama chenye maadili basi Taifa limekuwa morally bancrupt.Anadai Chadema inaongozwa na watu wanaomiliki club za usiku?Kwa hiyo waendaji club za usiku wanavunja sheria?hawana maadili?mbona serikali inayoongozwa na chama chake(chenye maadili) ndiyo inayotoa leseni?Kwanini club za usiku zisipigwe marufuku?

Je,maadili ni kumrudisha waziri mkuu aliyelazimika kujiuzulu kwa kashfa ya Ufisadi pamoja na mwanasheria wa zamani wa serikali anayesifika kukwapua fedha na kuweka nje ya nchi?

Inaonekana Tafsiri ya neno 'Maadili' hubadilika kama ngozi ya kinyonga.Huyu ndiye katibu mkuu wa chama cha siasa kinachopanga kuwaletea watanzania maisha bora!

Si afadhali chadema yenye viongozi wachache waadilifu kuliko utitiri wa viongozi waliochafuka kwa ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka.asiwafundishe watanzania kujali quantity,bali quality ya viongozi.Sijui ni kwa nini aishambulie chadema tu?Narrow minded....
 
Ninachowapendea ccm ni kwamba baada ya Mangula sasa wanateua makatibu wendawazimu, wanaokisaidia chadema kupanda chati!

Go Mukama go go goooooo!
 
Kama cdm ina ukame wa viongozi na imewadhoofisha ccm kiasi hiki je ikiwa na mafuriko itakuwaje?????? wameumia , hivi na huyo Mukama bado yupo tu, si alitaka kukimbilia mambwepande baada ya kumuogopa nape nnauye????????????
 
Nisaidieni wanyalukolo,biashara ya Klabu ya usiku na ile ya ARVs feki ni ipi inayoweza kukuingiza jehenam haraka zaidi (mimi ni mlokole)
 
Madagascar yuko Rajoelina, hamjui fani yake? jimbo la calfornia kule USA liko chini ya mcheza sinema. Urusi iko chini ya mwanajudo. Tutafute mbinu nyingine ya kupambana na hawa jamaa.
 
Tambwe Hiza, Msabaha, Shaibu Akwilombe, Dr Aman Walid Kabouru, Masumbuko Lamwai, Makongoro Nyerere... all of these have been in the opposition... and the list goes on
Chitambala, Nakaaya Sumari, Thomas Ngawaiya, Daniel Swanzugwako, Frank Magoba, Dani Makanga, Prince Bagenda, Steven Wassira, Abdallah Fundikira(Late), Gidion Cheyo nk.
 
Sh sh ssh mwambieni kimya! Nape uyo anakuja. Akimkamata , atajuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…