Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 33,884
- 54,128
Nimerudia kusoma.Sorry, nilimuuliza , na sijamwambia kuwa amekosea, Soma vizuri
Nimerudia kusoma.Sorry, nilimuuliza , na sijamwambia kuwa amekosea, Soma vizuri
Hukusema achilia mbali kuandika.Halafu ulivyoandika mimi nikaku-quote na kuandika "Kakosea,mrekebishe"!Kuna mahali nilisema amekosea?
Hukusema achilia mbali kuandika.Halafu ulivyoandika mimi nikaku-quote na kuandika "Kakosea,mrekebishe"!
Sahihi kuhusu chengine.Halafu sikuchupia na wala si "muandikaji" wake.Nimemuuliza kwanza ili nijue kama anafahamu au la , pengine alikusudia kuandika kitu chengine, Lakini wewe umechupia au ni msemaji wake?
Thanks,tumwachie mwenyewe ajibu swaliSahihi kuhusu chengine.Halafu sikuchupia na wala si "muandikaji" wake.
Naam,ila amekuwa mwenye kutoroka.Thanks,tumwachie mwenyewe ajibu swali
Tuvute subiraNaam,ila amekuwa mwenye kutoroka.
Huyu jamaa ninemuona kwenye Papillon iliyorudiwa ni shiiidaRami Malek ana movie inaitwa Mr Robot aisee ni shida
na alionekana kwenye twin lightSaga epsode ya mwisho kabisa View attachment 1033308
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitu muhimu cha kukumbuka ni kuwa Freddie Mercury alizaliwa Zanzibar lakini hakuwa mzanzibari ndo maana wazanzibari wasingeweza kumclaim
Wazazi wa Freddie walihamia kutoka India ili babake kuja kuendelea na kazi yake ya ukeshia katika serikali ya ukoloni wa muingereza Zanzibar na wakapewa uraia wa Uingereza sababu waliishi katika serikali ya Uingereza japo ilikuwa ni Zanzibar, hivyo Freddie alipozaliwa mwaka 1946 alizaliwa kama raia wa Uingereza mwenye asili ya Uhindi aliezaliwa Zanzibar na ni hivyo kuwa alikuwa considered kama Muingereza tangu kuzaliwa kwake. Hata Freddie mwenyewe alikuwa akijichukulia kama Muingereza,alikuwa obsessed na westerners na alipenda sana kusikiliza miziki ya westerns kama vile Rock music na ndipo alipoamua kujibadili jina lake kutoka Faroukh Bulsara na kuwa Freddie Mercury na ndipo alipokuwa inspired kuwa anaandika nyimbo
Freddie pia hajaishi sana Zanzibar, ameishi miaka nane ya mwanzo na baada ya hapo akiwa na miaka minane alipelekwa kusoma boarding school nchini India, amesoma boarding takliban miaka nane na aliporudi Zanzibar hakukaa sana kwani mapinduzi ya Zanzibar yalitokea na ndipo yeye na familia yake walikimbia kwenda Uingereza
Rami Malek ana movie inaitwa Mr Robot aisee ni shida
na alionekana kwenye twin lightSaga epsode ya mwisho kabisa View attachment 1033308
Sent using Jamii Forums mobile app
Kanu...Sawa mzee wangu wa Chumbageni nimekusikia
Ona Bohemian Rhapsody - Wikipedia, kamusi elezo huruRami Malek aliua Ile scene ya
Freddie Mercury alipopiga tamasha la live aid pale Wembley stadium,daaa ukicompare unaona kama reality ya Ile show miaka Ile,
Jamaa alistahili Hiyo Tuzo maana aliua Sana Kwenye
Bohemian rhapsody!