Muigizaji/Mchekeshaji Maarufu Nchini Nigeria Afariki Dunia

Kivumah

JF-Expert Member
Jan 7, 2008
2,428
1,050
SAM LOCE EFE (1945 - 2011)

Actor na Comedian maarufu toka Nollywood nchini Nigeria,Sam Loco Efe,amefariki dunia....

Mzee Sam alikua na miaka 66,alifariki dunia akiwa chumbani kwenye hoteli yake iitwayo Rapour Hotel iliyopo pande za Owerri,kwenye jimbo la Imo muda mfupi baada ya kutoka location na alijipatia umaarufu kuanzia mwaka 1968,alipoanzisha Overamwen National Theatre Group Benin, Edo hometown kwake Edo State

source: chini ya carpet blog


 
RIP sam
 
RIP mkuu... alikuwa ananifurahisha sana hasa kwenye movie moja ame-act na Patience Okonko or somehting huyu mama akiitwa Mama G na huyu jamaa alikuwa retired solder. niliiangalia long time lakini jamaa anafurahisha sana.
 
RIP
Jamaa alikuwa ni mzuri kweli kwa uigizaji huyu daaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…