Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Uwe na siku njema. Mungu akuepushe na majaribu ya mvua na baridiInshaAllah Babuu...
Uwe na siku njema. Mungu akuepushe na majaribu ya mvua na baridiInshaAllah Babuu...
Tena amecum safely...Ndio asha-come sasa
Amina Babuuu,..Uwe na siku njema. Mungu akuepushe na majaribu ya mvua na baridi
Niko nimejaa tele. Napambana na vishawishi vya mvua na baridi...Hahaaaaa
Upo lakini???
Sidhani kama watatoka leo au kesho maana na makofia nae anatafutwa aunganishweAkina Aveva, Malinzi, Nyange Kaburu watatoka lini jamani? Nawaonea huruma sana hawa wanamichezo wenzetu. Nadhani basi wangepewa hata dhamana da!! Uwa nikimuona Aveva, Kaburu, Malinzi nasikitika sana. Natambua kuwa wanaweza wakawa wanamakosa, ila wapewe dhamana. Badala yake wanatolewa watu ambao ni hasara kwa Taifa kama Lulu.
Afadhali upoNiko nimejaa tele. Napambana na vishawishi vya mvua na baridi...
Lol, Ukonga hakuna wafungwa wanawake... labda useme ulimuona Segerea na ndiko alikokua.Hizo ni story za vijiwe vya kahawa, lulu kila siku anaonekana pale ukonga akipiga kazi za usafi,
Lulu nilisha mwona kama mara mbili akiwa na wafungwa wenzake wamama wanakusanya na kuhamisha kuni na miti, gerezani alitoka lini isijulikane?
Haha wabongo bhana kweli raha
nina wasiwasi huyu ni mtumishi undercover... ndio maana hata maajabu ni mengi kwake... fatiria kuanzia mwanzo mpaka huu mwisho...Mara msamaha wa Rais, mara amri ya Mahakama Kuu. Tushike lipi? Mahakama Kuu ilifikaje kutoa amri pasipo na rufaa? Au ilifanya marejeo yenyewe? Shibisha Mkuu katika habari hii
Nani kakwambia ana ugwadu? Huyo ilikuwa kahifadhiwa tu.Kwa ugwadu alionao watu wajiandae kupiga shoo za kibabe.