Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,936
- 40,518
Sababu ya kubadilishiwa adhabu ni ipi kwa mujibu wa magereza?? anayejua aniambie nijifunze
Hapa ndo zile conspiracy theories za kwamba Kanumba ilikuwa lazima afe na atakayemuua ataachiwa au kutakuwa na hukumu ya kiupendeleo zina apply.
Tutaletewa swaga za hazijaiva, au msamaha wa Rais toa ¼ na ⅓