Muigizaji mkongwe wa Bollywood Dharmendra Kewal Krishan almaarufu ‘He-Man’ amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 89 leo Novemba 24, 2025.
Dharmendra ambaye mmoja wa waigizaji maarufu zaidi katika historia ya sinema ya India ameshiriki filamu nyingi za kihistoria kama Sholay (1975), Phool Aur Patthar (1966), na Chupke Chupke (1975).
Dharmendra ameacha jumla ya watoto sita ambao Sunny Deol, Bobby Deol, Vijeta Deol na Ajeeta Deol kutoka kwa mke wake wa kwanza, Prakash Kaur, watoto wengine wawili Esha Deol and Ahana Deol ni kutoka kwa mke wake wa pili ambaye ni Hema Malini.
View attachment 3506991