ACT ni chama makini, chadema ni chama cha kilaghai
chama laghai ni kile kilichosababisha kila mtanzania kudaiwa Tsh.600,000/= kutokana na kukua kwa deni la taifa
ACT ni chama makini, chadema ni chama cha kilaghai
Mkakati wa MM ulishajulikana, ni kwamba wajumbe wanaomuunga mkono wataanzisha vurugu ili MM apate appetite ya kujiunga na chama chake ACT
Mimi ningetamani kikao kiitishwe hata leo na wakileta Vurugu wapigwe tu!, tena wapigwe kweli kweli.
Chadema ilishajifia masiku meengi huko nyuma.
hiki chama ni mbadala wa chadema, kinakuja kwa kasi sana, chadema ni wachumia tumbo tu na genge la wahuni, ruzuku yote ya chadema inaishia kutumbuliwa makao makuu wakati viongozi wa mikoani na wilayani hawana kitu wanapiga miayo tu, shame on you chadema
Chadema ilishajifia masiku meengi huko nyuma.
Hivi uraia umeshapata!mpaka sasa hivi wabunge 10 wa chadema wameshachukua kadi ya ACT
Hapo kwenye maandishi ya rangi nyekundu mkuu,una undugu na mhe. kib....ji au mhe. ser.....la nini?au ni utoto?kama ccm mmeshindwa kuiua chadema itakuwa hawa wapumbavu...
Mkuu mimi huwa nawahoji hawa jamaa wanaosema CDM ni mpango wa Mungu, ni Mungu gani huyo wanaomzungumzia lakini hawanipi majibu.Mnakera sana Mnaohusisha CDM na Mungu kwani hao ACT,CUF,CCM,NCCR,UDP na vinginevyo hakuna wanaomini Mungu ?
Siasa ni huru acheni kumuhusisha Mungu au hamfahamu Rafu zinazochezwa ktk siasa chafu za kibongo...Mungu ni Mtakatifu sana kumuhusisha na Uchafu wenu
Huyo si zito na group yake.halafu ugomvi wao no chadema utadhani, chadema ni chama tawala...