Muhongo,Werema,Maswi walitekeleza maagizo

Muhongo,Werema,Maswi walitekeleza maagizo

Molembe

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2012
Posts
9,932
Reaction score
11,851
Watu hao walitekeleza maagizo waliyopewa na boss wao aliowateua kushika nafasi hizo hivyo tuanze kumng'oa boss wao, hivi tujiulize hao watu wanatoa wapi kiburi kama si kwamba jamaa aliwapa maagizo wafanye hivyo rejea kauli ya Muhongo kuwa nchi itatikisa akijiuzulu kwanini itikisike kama sio kwamba jamaa mteuzi amehusika, rais ameshindwa nini kutoa maagizo wawajibishwe kama hahusiki ,nchi ya wajinga kuwahi kutokea duniani.
 
Ni kweli tunajua walitekeleza maagizo ya mkuu wao ni ngumu wao kujiuzulu hii ngoma ngumu wadau cha muhimu tutafuteni tu njia nyingine ya kuwaadabisha.
 
WangeAmbiwa na Mkuu wao watembee uchi pale samora avenue wangefanya hivyo? Kama walikuwA wanajua wanachokifanya sio sawa walikuwA na nafasi ya kutoa Ushauri. Kwa kuwa hawakufanya hivyo wapo hatiani.
 
Hata tutasumbuana na kuzungushana saaaana lakini Mwizi mkubwa na anayelinda wezi washiriki na JK, Rais wetu aliyekuwa mgonjwa wa DUME TEZI.Ikulu ndo kwenye pango la WEZI wa pesa na Raslimali za nchi yetu.
 
Kwani kwenye oparesheni tokomeza kina nchimbi walitoa amri ama.., acheni double standard katika maamuzi.
 
Prof. Muhongo na Jaji Werema ambao ni watuhumiwa wa Escrow, ni watu wa Mara. Nimefurahishwa na style yao ya kusimamia kile wanachokiamini ; hakuna rushwa, fedha si za umma, hakuna kujiuzuru.
Hawa ni kielelezo halisi cha wanaume asilia wa Mara.
 
Prof. Muhongo na Jaji Werema ambao ni watuhumiwa wa Escrow, ni watu wa Mara. Nimefurahishwa na style yao ya kusimamia kile wanachokiamini ; hakuna rushwa, fedha si za umma, hakuna kujiuzuru.
Hawa ni kielelezo halisi cha wanaume asilia wa Mara.

Mkuu Mimi Mwenyewe Ni Poti Wako Tena Wa Huko Huko Kabisaaaaaa......ILA Kwa Upuuzi Wao Huo NAUNGANA Na WATANZANIA Wote KUWALAANI Na Wanastahili KUWAJIBIKA na KUWAJIBISHWA! Haki, Nidhamu Na Utu Kwanza Kisha Undugu Baadae.
 
Acha upuuzi wewe, mara hakunaga Wezi na Mafisadi wa mali za Umma... Kutokujiuzulu kwao ni udhaifu wa nafsi zao... Cowards ...Bandits ... Social Climber, ------ ...
Prof. Muhongo na Jaji Werema ambao ni watuhumiwa wa Escrow, ni watu wa Mara. Nimefurahishwa na style yao ya kusimamia kile wanachokiamini ; hakuna rushwa, fedha si za umma, hakuna kujiuzuru.
Hawa ni kielelezo halisi cha wanaume asilia wa Mara.
 
Watatoka tu......Ni kiasi cha muda........Najua wanamuonea aibu tumbili jinsi walivyomrarua na maneno s's wakitoka wataonekana wameshindwa Ila Watatoka tu...........
 
Yah mwanaume ugeuka kitandani tu na kwingineko,ukishaamua kuanza na hapana hakikisha una pay for it na ikibidi kufa na hiyo ndo principle ya kwanza ya mwanaume
 
Mkuu Mimi Mwenyewe Ni Poti Wako Tena Wa Huko Huko Kabisaaaaaa......ILA Kwa Upuuzi Wao Huo NAUNGANA Na WATANZANIA Wote KUWALAANI Na Wanastahili KUWAJIBIKA na KUWAJIBISHWA! Haki, Nidhamu Na Utu Kwanza Kisha Undugu Baadae.
Umenikumbusha " Bita ni bita murah!"
 
Watatoka tu......Ni kiasi cha muda........Najua wanamuonea aibu tumbili jinsi walivyomrarua na maneno s's wakitoka wataonekana wameshindwa Ila Watatoka tu...........
Ndiyo maana hata Faiza Foxy kaomba kupigwa ban ......!
 
Prof. Muhongo na Jaji Werema ambao ni watuhumiwa wa Escrow, ni watu wa Mara. Nimefurahishwa na style yao ya kusimamia kile wanachokiamini ; hakuna rushwa, fedha si za umma, hakuna kujiuzuru.
Hawa ni kielelezo halisi cha wanaume asilia wa Mara.
hiyo personality ya watu wa mara inayokufurahisha kwa hao viongozi kama taifa nawe ukiwa mzalendo wa nchi hii kipi cha kukufurahisha?

samahani ingekuwa mimi ningekaa kimya nifiche ujuha wangu kielelezo cha wanaume waMara wakati nchi inatikisika? my gosh!!
 
Ni kwanini Kikwete asiwajibishwe? Richmond alituhumiwa na hata Escrow sasa anatuhumiwa pia kuwa ni maagizo yake.
 
Back
Top Bottom