Wakuu, kuna hali ya kuchanganya.. kati kile kipengele cha kuambatanisha cheti cha form 6.. wapo wanaosema kua waliomaliza mwaka huu wanatuma ivoivo na wapo wanaosema una ambatanisha result slip. msaada kwa mwenye uhakika na hili..
Kwenye form vitu walivyoolodhesha kuambatanisha ni birth certificate yenye no ulizojaza, form four certificate, kopya ya kitambulisho cha mdhamin chenye no uliyoweka.
Kwa mwenye uelewa na tofauti kati ya NTA level six na NTA level five katika kuchanganua GPA ili kujiunga na degree 2016/17 maana kuna mtu kaniambia tucu wanachukua nta level six yani diploma 2 na siyo diploma 1 na 2
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.