Anachosema Ubungoubungo ni kuwa kazi aliyokuwa anaifanya Learned Boniface ilikuwa ni ya kutukuka kwa Serikali. Viongozi serikali walilijua hili. Wanasheria wenzake, Majaji na wanasheria wa kujitegemea waliuenzi na kuheshimu utumishi wake. Sisi wengine wa magazeti ya udaku hatujui. Lakini sio anaotudai tungehudhuria, anawadai wanaojua. Ukiachilia mbali viongozi wa kisiasa je; kuna wanataaluma wenzake wangapi walioguswa na kifo cha Boniface?
Watanzania wengi moyo wa upendo wa dhati hawana. Watanzania wa sasa kwa kila jambo wanajiuliza watafaidika nalo vipi leo au kesho. Jambo la jana halina thamani teni mioyoni mwa watanzania. Sio kweli kwamba viongozi wa kisiasa walimpenda sana marehemu Kanumba, hapana! Kwa kuwa sanaa inavuta watu wengine wanasiasa wanataka waonekane wako pamoja na kundi la wasanii na wapenda sanaa. Kundi la wapenda sanaa ni vijana, wasio na kazi hata wamachinga ni wengi kuliko kundi lolote. Wanasiasa hawaendi kwa kuwapenda la hasha, wanaenda kwa maslah ya kesho ya kisiasa zaidi.
Njaa ya kesho ndiyo inayotawala. Mkuu wa majeshi hana kundi na wala hata rudi tena kumlinda Rais. Boniface halikadhalika. Wanasiasa wa Tanzania wanaishi kwa kujipendekeza. Mfano wakuu wa mikoa, wa Wilaya na viongozi wengine wlienda kwenye msiba wa Kanumba kwa kuwa Raisi alikuwepo hivyo hoja ya kuwepo ni ili waonekane na mkubwa.
Watanzania wengi moyo wa upendo wa dhati hawana. Watanzania wa sasa kwa kila jambo wanajiuliza watafaidika nalo vipi leo au kesho. Jambo la jana halina thamani teni mioyoni mwa watanzania. Sio kweli kwamba viongozi wa kisiasa walimpenda sana marehemu Kanumba, hapana! Kwa kuwa sanaa inavuta watu wengine wanasiasa wanataka waonekane wako pamoja na kundi la wasanii na wapenda sanaa. Kundi la wapenda sanaa ni vijana, wasio na kazi hata wamachinga ni wengi kuliko kundi lolote. Wanasiasa hawaendi kwa kuwapenda la hasha, wanaenda kwa maslah ya kesho ya kisiasa zaidi.
Njaa ya kesho ndiyo inayotawala. Mkuu wa majeshi hana kundi na wala hata rudi tena kumlinda Rais. Boniface halikadhalika. Wanasiasa wa Tanzania wanaishi kwa kujipendekeza. Mfano wakuu wa mikoa, wa Wilaya na viongozi wengine wlienda kwenye msiba wa Kanumba kwa kuwa Raisi alikuwepo hivyo hoja ya kuwepo ni ili waonekane na mkubwa.
Ukimsoma vizuri mleta mada....Haikutakiwa Boniface asijulikane..Tatizo ni je hizo (character zake ) ni interesting kwenye ears za watanzania? Kila jamii inamambo ambayo inashabikia then it means Boniface being a Tanzanian na kwa culture ya watanzania hiyo siyo habari maana watu wachapakazi na wasiopenda usanii na sifa za kijinga siyo watu wanaopendwa kusikika katika kile ambacho watanzania watakiita habari..'News'....Wa kumleta Boniface kwenye ears za watanzania ni wanahabari nao hawawezi leta habari ambayo siyo 'news' maana siyo preference ya consumers wao...Then we come back to the conclusion wengi wa watanzania wanapenda watu wanafiki na wasanii...
Ukipenda kujua ukweli wa hili angalia thread zinazoshabikiwa na wana JF ambao ni representative wa informed group ya watanzania.....Leta habari ya fisadi fulani kasikika yupo so and so.....Kiongozi fulani kafumaniwa.....Kikombe cha babu kimetibu na kuua wangapi....utakuta ni uzinzi, wizi, ushirikina ndiyo news za wengi wetu....So hizi habari za wakili mahiri utazisoma sangapi wakati thread za jinsi hizi hazisomwi na wengi? Je waleta habari wataleta thread za jinsi hiyo?
Kuna rafiki yangu mmoja alinipa ushauri..mzuri tu kwakweli..kwamba nikipenda wengi wanisome basi niache kuandika habari kuhusu imani yangu na niandike za profession yangu...Swali likanijia hivi mimi objective yangu ya kuhabarisha wengine ni ipi? Kama preacher basi ni kuhusu imani yangu kwanza na taaluma yangu inafuata baada ya imani yangu..Sasa nikiacha hivi nitakuwa naishi ndani ya dhamira yangu au nitakuwa na ishi kwa kuiga wengine? its either na endelea kuandika hizo habari kwa as few as watakaopenda kusoma ama naacha kabisa maana ni kupoteza muda kufanya jambo ambalo si objective yangu...
Watanzania wengi wanatatizo la kujitambua na kujiamini...sababu bado sijaijua lakini naitafuta na soon will be informed of why watanzania wanashindwa kujitambua na kujiamini badala yake wanapenda kuiga mno na kufuata mkumbo.