boyfriendy
JF-Expert Member
- Sep 9, 2012
- 1,988
- 1,034
Hivi kuna MtanZania ambaye anaweza kubadilisha uamuzi wake wa kuchagua chama fulani kwa sababu Kingunge ameamua kukiunga au kutokukiunga mkono chama fulani?
Hivi Wananchi wa Mikoa ya Mz, Shy, Kagera, Kigoma, Mb, Ir hata wanajua Kingunge ni nani?
Omba radhi kwa wakazi wa hiyo mikoa uliyoitaja haraka iwezekanavyo. Pumbafu kabisa, sasa kwa taarifa yako hiyo mikoa hawajui nini maana ya mgao wewe unalia ata mkutano wa kingunge hukuuona kwa kukosa umeme wenzako umeme full 24hrs nyau wewe