Good update news ila mi najiuliza doctor kasema alivuta sumu inakuwaje aivute dereve peke yake wakati wapo wote humo ndani ya gari na huyo jamaa?? Pia jamaa alianza kusikia kizunguzungu from jangwani then akapaki magomeni ina maana hiyo sumu ilikuwa jamaa yeye asiivute pia maana wote walikuwa wavuta na kutoa pumzi ya humo humo ndani ya gari #KakaKiiza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.