Muhimbili wamethubutu na wameweza

Mkuu nikusahihishe kidogo. Cath Lab au catheterization laboratory kwa kitaalamu sio kifaa bari ni laboratory ndani yake ndo kuna kifaa au machine inayotumika kuingiza catheter huku ukiiona kwenye screen na hii machine ni x-ray, ina weza kua digital subtraction angiographic machine (d.s.a) kwahiyo mkuu, hiyo cath lab ni chumba na inavifaavingi kwa ujumla ndo inaita hivyo.



 

Wewe akili yako imejaa siasa haaaaa!Uambiwe nini uelewe! hata suala la kukata Bima ya afya unasubiri mkutano wa siasa wakuambie!acha kujiharinia bwana kama huelewi usichangie nenda kaungane na wenzio Mwanza!
 

mkuu nani mwenye jukukmu la huhakikisha kuwa umma una taharifa sahihi juu ya elimu ya kinga?, kwa haraka ukiitazama jamii unatambua kuwa watu wanakosa taarifa sahihi juu ya afya zao, dalili ni kushamiri kwa waganga wa kienyeji, (rejea kikombe cha babu-hata wale tuliowatarajia kuwa wana elimu ya kutosha ya afya nao walienda! hapo ndo ujue tatizo lilivo kubwa.)
kuhusu kufanya mazoezi, ni proportion ya watanzania wachache sana wenye kuhitaji kufanya mazoezi kwani wengi wao shughuli zao za kila siku ni mazoezi tosha na pengine zaidi ya mazoezi.
 
Wewe akili yako imejaa siasa haaaaa!Uambiwe nini uelewe! hata suala la kukata Bima ya afya unasubiri mkutano wa siasa wakuambie!acha kujiharinia bwana kama huelewi usichangie nenda kaungane na wenzio Mwanza!

Huna la maana kwa kiwango nilichotegemea JF. hatutaweza kuelewana kwa sababu moja tu, nayo ni hiyo niliyoweka chini kwenye signature yangu.
 
Mkuu ni majanga, yahani taifa lenye
watu zaidi ya milioni 45 wanatumia ct-scan machines moja! huku mkiongeza idadi ya magari ya washa washa

washa washa muhimu kwa watu kama nyinyi msiopenda kutii sheria bila shuruti, we kweli poyoo hujui kuwa hata marekani na ulaya magari ya washawasha yapo, sembuse bongo yetu kuna mijitu kila siku inawaza vurugu na maandamano yasiyo na kichwa wala miguu
 
....exactly....mambo aliyokuwa anafanya dr. Masau (the late)miaka ya 2006 ndiyo wanatamba nayo sasa ccm....this is so sad....yaani kipindi kile walikua wanampiga zengwe Dr. Masau aliyekuwa anapambana kuyafanya haya wanayotamba nayo leo...alafu leo wanataka kuwapumbaza watanzania (kama kawaida yao)kwamba wanafanya mambo makuubwa...hii inashangaza sana....Ndio maana wanasema watanzania ni watu wa kusahau sana..maana watawala huwapumbaza kirahisi sana...Tena kipindi kile Dr. Masau alikua anafanya mpaka International conferences za Cardiac surgery (including tele conferences)...akiwahusisha mabingwa wa cardiology na cardio surgery kutoka pande mbalimbali za dunia....Alafu eti leo watawala wanawapumbaza wabongo eti wanafanya mambo haya ya ajabu!...kweli tuna safari ndefu....

...Hizi cardiac catheterization kwa wenzetu hufanywa routinely kama common procedures...Siasa za kibongo kweli zimeingilia taaluma....kila kitu kinahusishwa na siasa....
 

"...usibeze pasipobezeka."
 
washa washa muhimu kwa watu kama nyinyi msiopenda kutii sheria bila shuruti, we kweli poyoo hujui kuwa hata marekani na ulaya magari ya washawasha yapo, sembuse bongo yetu kuna mijitu kila siku inawaza vurugu na maandamano yasiyo na kichwa wala miguu
sitashangaa, ukiwa na fikra kama hizi lazima na vipaumbele vyako yawe majanga matupu.
 

Umetumwa Au umerogwa na Kama siyo basi upeo wako wa elimu juu ya heart surgery ni mdogo Au hujui mbaya zaidi huna uwezo wa kufanya cardiovascular surgical analysis ndo maana unaongea pumba zaidi ktk muktadha wa jambo usilolielewa.

Umeendika habari Kama za chereko chereko.
 
Kwa hela ipi? Ukinijibu hapo nitakuunga mkono kwamba Muhimbili mmeweza....hamjachangishana ni pesa ya kodi ya kila mtanzania. Naomba ubadili useme watanzania tumeweza, tumethubutu ....usijipachike gauni la taifa na kujifanya umelinunua wewe KARIAKOO. Nguo ya kuazima....malizia kama unajua kiswahili
 

Mkuu sio kila mwananchi anabima na wala sijazungumzia bima hapo nimezunguza tushwa iliupate hudima laiti ungejua pia hao madaktari hapendi watu wanao tumia bima sababu tu hawapati chochote kitu.

Huduma ya afya kwa tanzania ni anasa.
 
washa washa muhimu kwa watu kama nyinyi msiopenda kutii sheria bila shuruti, we kweli poyoo hujui kuwa hata marekani na ulaya magari ya washawasha yapo, sembuse bongo yetu kuna mijitu kila siku inawaza vurugu na maandamano yasiyo na kichwa wala miguu
Mkulimawakiteto magari ya washawasha Ulaya no machache kuliko hospital na vifaa tiba kwa ajili ya afya za with wake. Huyo jamaa yuko sahihi viongozi wetu wanajali sana kusalia madarakani kwa vitisho kuliko kuimarisha huduma muhimu za afya name elimu. Wananchi wakipatiwa huduma sahihi kwa wakati hutakuja sikia mgomo wala maandamano na mwisho hakutakuwa na haja ya washawasha ..iletwe ya niini. Mataifa ya huko kwingine wananunua na kuboresha miundombinu ya kujilinda na maadui was nje ya nchi sio kutengeneza uadui na watu wake kama sisi.
 

Kuna madaktari wa ngapi wa kitanzania wanafanya upasuaji wa moyo? Inawezekana ikawa ile joint venture ya madaktari wa nje niliosikia kwenye radio, which would mean ni jambo la mda na limetokana na fadhila za hao madaktari siyo jitihada za serikali ya ccm.
 
Kuna ukiritimba wa hali ya juu sana MNH.. Hakuna fairness, rushwa ya vitu vidogo vidogo, fikiria kufata file tu toka block moja kwenda lingine mtu bado anatoa kidogo. Then unakuja kusema eti huduma zimeimarishwa..
 
Kuna vitu ambavyi huletwa na wakati,mambo haya ya technology ni gobal issue si ya ccm au chama fulan,...ni sawa na mtu atokee aseme ameleta simu za mkonon wakat hata ama kungekuwa na kilaza madarakani zingeingia tu maana ni upepo wa dunia nzima....kuna vitu ambavyo vikifanyika twaweza kumpa credit mhusika,mfano itokee tren zite ziwe za umeme bongo,kuwe na fly over kama 10 au 20 hiv dar nk,lkn vingine hivi mnaleta siasa tu! Hayo matibabu ya moyo mnayosifia yanafaa nini wakati watu wanateseka mawodini kwa ukosefu wa dawa tena zile za msingi? Imagine hospitali inakosa hata zile dawa za dhalura hslafu watu mnasifia tu
 

Good observations. Uelewa wetu umeshuka kiasi kwamba sasa unawanyima watu haki yao kwa kipindi kirefu, siku ukiwapa wanashukuru na kupiga magoti kama hawa.

Sasa hivi wanashukuru kwa mashine hospitali, barabara za rami na wengine hata kwa kupewa T-shirt na kofia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…