Muhimbili University(MUHAS) Special Thread

Muhimbili University(MUHAS) Special Thread

Nimeomba course ya Diagnostic 2019/20 ila nikicheki account yangu kila siku wananianjema ombi lako limetumwa endelea kututembelea na kwa mara nashindwa kuelewa au ndio nimepigwa chini
 
Kwa mwanafunzi aliyehitimu Diploma ya Medical laboratory anatakiwa awe na vigezo vipi kujiunga na Degree ya Medical laboratory hapo MUHAS??
 
Kwa mwanafunzi aliyehitimu Diploma ya Medical laboratory anatakiwa awe na vigezo vipi kujiunga na Degree ya Medical laboratory hapo MUHAS??
Physics....chemistry.....biology.....mathematics....english uwe na D........O level.

Then uwe na GPA kuanzia 3.0 kwa diploma yako hiyo ya medical lab.


Sema matokeo yako nikushauri vizuri.......MUHAS utasoma tu
 
Back
Top Bottom