Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 53,159
- 72,199
Dah axant xn kw ushaur mzr naamin one day ntaingiy muhimbil ila namb contact zko ikiwezkan....
Andika vizuri wewe, hivi ndio tunatarajie tukuite msomi kwa style hii ya uandishi?
Dah axant xn kw ushaur mzr naamin one day ntaingiy muhimbil ila namb contact zko ikiwezkan....
Hivi vijana mmeingiwa na mdudu gani?
We kweli mwanafunzi wa form six unaandika hivi? Serious???
Yani ujinga mtupu, mtu kafika hadi A level na ndoto zake za udaktari anaandika ujinga ujinga sijui ni nini hichoNdo hawa kwenye mitihani yao ya taifa wanatucholea makatuni
Kuliko akawe daktari namshauri akawe mpambaji wa matangazo ya harusi kwa sababu atawaua wagonjwa kwa kuleta mzaha hivi hivi kwenye mambo ya msingiYani ujinga mtupu, mtu kafika hadi A level na ndoto zake za udaktari anaandika ujinga ujinga sijui ni nini hicho
Kwa uandishi huu nna mashaka na marinda yako.Dah axant xn kw ushaur mzr naamin one day ntaingiy muhimbil ila namb contact zko ikiwezkan....
Axant xn kw upande wang umenikosh xn ume2fumbua mach kuijuw muhimbil... me ni mwnafunz wa PCB nnandoto zakuja muhimbili MD naomb ushaur wko...
Me nafkir mlokoment vby juuyang nyot ni zero brain coz ata hamuelewek kiukwel mmedeviate kabisa na thread...Yani ujinga mtupu, mtu kafika hadi A level na ndoto zake za udaktari anaandika ujinga ujinga sijui ni nini hicho
Km ungetumia lg yabusara ingependez sana coz "utuuzima busara, miaka namba tu"Kuliko akawe daktari namshauri akawe mpambaji wa matangazo ya harusi kwa sababu atawaua wagonjwa kwa kuleta mzaha hivi hivi kwenye mambo ya msingi
Sawa ww ugaliugali....Kwa uandishi huu nna mashaka na marinda yako.
Samahani mtoa mada nilitaka kumkumbusha kidogo huyu mtoto mchelemchele.
Acha upumbavu wewe kijana,Me nafkir mlokoment vby juuyang nyot ni zero brain coz ata hamuelewek kiukwel mmedeviate kabisa na thread...
ww kuwa mstaarab bc coz km utuuzima ni hekima.... "mtaro utaanz kufukuliw ww pumbav moja ww"Acha upumbavu wewe kijana,
Elewa ukielekezwa,
Usishupaze shingo itavunjika,
Una elimu ya kutosha kutuandikia upumbavu hapa,
Unaandika kama unawasiliana na visichana vyako ya kidato cha pili,
Halafu eti wametoka nje ya maada mshenzi kweli wewe,
Jirekebishe na huo uandishi wako la sivyo watu watakufukua mtaro muda sio mrefu
Nazani unaongea hivi baada ya kukosa nafasi Muhimbilimuhimbili ni chuo cha uchwara bola kcmc tunapewa hadi tablet
kijana mwenzangu heshimu watu uliowakuta humu, hii itakusaidia kupata manufaa humu JF.ww kuwa mstaarab bc coz km utuuzima ni hekima.... "mtaro utaanz kufukuliw ww pumbav moja ww"
Kama chuo unaenda kutafuta tablet ni sawa, ila kama unaenda kwa ajili ya kupata maarifa na elimu kwa manufaa yako binafsi na jamii kwa ujumla basi umepotea kijanamuhimbili ni chuo cha uchwara bola kcmc tunapewa hadi tablet
Sisomi MUHAS ila siwezi kukikosea heshima chuo hicho kikongwe maana walimu wengi wanaofundisha chuoni kwangu wamesoma huko, mapungufu yapo sawa na hiyo ni kawaida wala sio sababu ya kukibeza kimetupatia walimu wazuri kwa sisi wa hivi vyuo vipya kama AJUCO,st Joseph,KCMC,CUHAS ,HKMU na IMTU.muhimbili ni chuo cha uchwara bola kcmc tunapewa hadi tablet
Dogo kwa uandishi unategemea kuingia MUHAS kweli...!? Jaribu kujitathimini upya dogo acha ulimbukeni imekuwia ugumu gani kuandika hiyo sentesi kwa usahihi...Dah axant xn kw ushaur mzr naamin one day ntaingiy muhimbil ila namb contact zko ikiwezkan....