Muhimbili university Diploma 2019/2020

Muhimbili university Diploma 2019/2020

Brightvon

Member
Joined
Aug 26, 2019
Posts
14
Reaction score
3
Nimechaguliwa Diploma in Nursing And Midwifery chuo cha MUHIMBILI SCHOOL OF MIDWIFERY na OR-TAMISEMI kwenye selection za kidato cha tano, vyuo vya Afya na ufundi 2019/2020. Lakini mimi kwenye selform tulizojaza shuleni niliomba Clinical Medicine LUGALO na Medical Laboratory Sciences Singida College of Health and technology, Nataka kuhama hiyo Nursing niende hizo kozi niliokuwa nimeomba hapo awali, lakini kuna ndugu, jamaa na marafiki wanasihi niende tu hapo Muhimbili Nursing. Natunguliza shukrani naombeni ushauri wakuu wazoefu
 
Wewe ulitaka kusomea nini? Tuanzie hapo kwanza
Nimechaguliwa Diploma in Nursing And Midwifery chuo cha MUHIMBILI SCHOOL OF MIDWIFERY na OR-TAMISEMI kwenye selection za kidato cha tano, vyuo vya Afya na ufundi 2019/2020. Lakini mimi kwenye selform tulizojaza shuleni niliomba Clinical Medicine LUGALO na Medical Laboratory Sciences Singida College of Health and technology, Nataka kuhama hiyo Nursing niende hizo kozi niliokuwa nimeomba hapo awali, lakini kuna ndugu, jamaa na marafiki wanasihi niende tu hapo Muhimbili Nursing. Natunguliza shukrani naombeni ushauri wakuu wazoefu
 
Wewe ulitaka kusomea nini? Tuanzie hapo kwanza
Mimi nataka Clinical Officer hapo LUGALO lakini wadau wananishauri niende muhimbili tu. Kwasababu pote nmepata naombeni ushauri nifanye maamuzi sahihi
 
Nimechaguliwa Diploma in Nursing And Midwifery chuo cha MUHIMBILI SCHOOL OF MIDWIFERY na OR-TAMISEMI kwenye selection za kidato cha tano, vyuo vya Afya na ufundi 2019/2020. Lakini mimi kwenye selform tulizojaza shuleni niliomba Clinical Medicine LUGALO na Medical Laboratory Sciences Singida College of Health and technology, Nataka kuhama hiyo Nursing niende hizo kozi niliokuwa nimeomba hapo awali, lakini kuna ndugu, jamaa na marafiki wanasihi niende tu hapo Muhimbili Nursing. Natunguliza shukrani naombeni ushauri wakuu wazoefu
Ingia pale nacte utaona sehemu imeandikwa "uthibitisho tamisemi" ingiza index no yako ya form four au jina taarifa zitakuja ili uconfirm au ubadilishe kozi kwa utakazoziona kwenye list, chagua unayotaka kisha fwata maelekezo.
 
Wakiume utasomaje nesi mzee baba
Nyie Ndiyo mnajiita Dr nesi huku kazini
Nenda CO au Lab
 
Ingia pale nacte utaona sehemu imeandikwa "uthibitisho tamisemi" ingiza index no yako ya form four au jina taarifa zitakuja ili uconfirm au ubadilishe kozi kwa utakazoziona kwenye list, chagua unayotaka kisha fwata maelekezo.
Tayari wamefunga mfumo toka tr30 mwez 8, Lakini mimi tayari nimepata LUGALO naombeni ushauri nipige chini Muhimbili niingie hapo LUGALO au..??
 
mbona profile haifunguki? how do you access your profile?
After getting nacte website, go online then click the upper left side written log in enter ywh candidate number ywh registered bfr and the year your completed then ur password
 
After getting nacte website, go online then click the upper left side written log in enter ywh candidate number ywh registered bfr and the year your completed then ur password
nimeona kijana wangu kachaguliwa Lugalo! lkn yupo form five! asante
 
Nenda Lugalo kama una ndoto za kuwa daktari na kama umechaguliwa hapo...ila ikishindikana hata nesi pia iko vizuri
Mimi nataka Clinical Officer hapo LUGALO lakini wadau wananishauri niende muhimbili tu. Kwasababu pote nmepata naombeni ushauri nifanye maamuzi sahihi
 
Uthibitisho na uhamisho hilo zoezi limeshafungwa tangu 30/08/2019 kwahiyo haiwezekani tena kwa njia hiyo
Ingia pale nacte utaona sehemu imeandikwa "uthibitisho tamisemi" ingiza index no yako ya form four au jina taarifa zitakuja ili uconfirm au ubadilishe kozi kwa utakazoziona kwenye list, chagua unayotaka kisha fwata maelekezo.
 
Dogo tushakujibu nenda lugalo pako safikuna dogo kamaliza hapo chuo kipo safi
Tayari wamefunga mfumo toka tr30 mwez 8, Lakini mimi tayari nimepata LUGALO naombeni ushauri nipige chini Muhimbili niingie hapo LUGALO au..??
 
Dogo tushakujibu nenda lugalo pako safikuna dogo kamaliza hapo chuo kipo safi
Asante..! Kwa ushauri mzuri je una taarifa kuhusu lini chuo cha Muhimbili School Of Nursing And Midwifery kinafungua..!
 
Kama unaangalia future yako ya ajira na kujiendeleza kimasomo nenda Muhimbili na kama unataka uishie mtaani kwenye viji-dispensary vya akina Ngowi na Macha huku ukiwa na Diploma yako ya Clinical Officer basi nenda Lugalo, Naomba nikuelimishe kwa kifupi sana, Ukiwa na diploma ya Nursing ukienda nje Kenya, Namibia, South Africa, Malaysia etc utapata kazi lakini hiyo diploma ya Clinical officer mwisho wake ni Zanzibar na hapo sasa amua kusuka au kunyoa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom