Nimechaguliwa Diploma in Nursing And Midwifery chuo cha MUHIMBILI SCHOOL OF MIDWIFERY na OR-TAMISEMI kwenye selection za kidato cha tano, vyuo vya Afya na ufundi 2019/2020. Lakini mimi kwenye selform tulizojaza shuleni niliomba Clinical Medicine LUGALO na Medical Laboratory Sciences Singida College of Health and technology, Nataka kuhama hiyo Nursing niende hizo kozi niliokuwa nimeomba hapo awali, lakini kuna ndugu, jamaa na marafiki wanasihi niende tu hapo Muhimbili Nursing. Natunguliza shukrani naombeni ushauri wakuu wazoefu