- Thread starter
- #21
Asante mkuu..! Kwa ushauri mzuriKama unaangalia future yako ya ajira na kujiendeleza kimasomo nenda Muhimbili na kama unataka uishie mtaani kwenye viji-dispensary vya akina Ngowi na Macha huku ukiwa na Diploma yako ya Clinical Officer basi nenda Lugalo, Naomba nikuelimishe kwa kifupi sana, Ukiwa na diploma ya Nursing ukienda nje Kenya, Namibia, South Africa, Malaysia etc utapata kazi lakini hiyo diploma ya Clinical officer mwisho wake ni Zanzibar na hapo sasa amua kusuka au kunyoa!
...Full kutumwa tumwa.