Jamani hizi picha ni miss-leading sana!! Wakati wa kupiga deki wodini wagonjwa hutolewa nje, na hizi picha zilipigwa wakati huo. Aliyezipiga asiwalaghai watu bure!!!
Ndugu mheshimiwa, if you know nothing don't say anything
Jamani hizi picha ni miss-leading sana!! Wakati wa kupiga deki wodini wagonjwa hutolewa nje, na hizi picha zilipigwa wakati huo. Aliyezipiga asiwalaghai watu bure!!!
At leasst the indian-mhindi- built this hospital SewaHaji- otherwise this country would never had a hospital!
Ni sekta ipi Tanzania kwa miaka 50 ya uhuru imekaa sawa?
tumenunua vitanda 2000 ambavyo ni sawa na asilimia 95 ya mahitaji yanayohitajika...
Halafu muhimbili kuna mbu wengi ni balaa.